Muhammad Ali - Bondia maarufu wa wakati wote alitoa kauli hiyo mwaka 1993 katika Mwezi kama huu wa Muharram ambapo naye alishiriki katika Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (as).
Akiashiria umuhimu wa ukweli na uaminifu katika vyombo vya habari, Ayatollah Faqihi alisema: "Ikiwa tutadumisha ukweli na uaminifu katika uwanja wa taarifa na usambazaji wa habari, basi kwa hakika tunaweza kutoa huduma kubwa katika uwanja huu."