Umoja
-
Araqchi: Umoja wa ardhi na mamlaka ya Yemen lazima vilindwe
Katika mazingira ya kuongezeka kwa mvutano wa kisiasa na kijeshi nchini Yemen, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi, amesisitiza ulazima wa kulindwa umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala ya nchi hiyo, akionya dhidi ya madhara ya mgawanyiko na kuingilia masuala ya ndani. Kauli hiyo imetolewa kupitia mazungumzo ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, huku pia akigusia hali ya usalama nchini Yemen na kulaani uchokozi unaoendelea wa Israel dhidi ya Lebanon.
-
Katika ujumbe kwa Mkutano wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; Kiongozi wa Mapinduzi:
Hitaji kuu la dunia leo ni mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu / Shambulio la Marekani lilishindwa mbele ya ujasiri wa vijana wa Iran
Ayatollah Khamenei, katika ujumbe wake kwa Mkutano wa 59 wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya, amesisitiza kuwa sababu kuu ya msukosuko na wasiwasi wa madhalimu wafisadi si suala la nyuklia, bali ni kuinuliwa kwa bendera ya kupinga mfumo usio wa haki na utawala wa mabavu wa mfumo wa ubeberu duniani, pamoja na mwelekeo wa Iran ya Kiislamu kuelekea kujenga mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu.
-
Sayyid Sajid Ali Naqvi: Ni kwa kutekeleza fikra za “Qaid-e-Azam” pekee ndipo mustakabali wa Pakistan unaweza kuwa salama
“Muhammad Ali Jinnah alipigania kwa juhudi zisizochoka, uaminifu na busara ya kisiasa ili kuanzisha nchi huru, inayojitegemea na yenye misingi ya kiitikadi; na leo jukumu la kulinda usalama, uthabiti na uhai wa nchi hii halipo tu juu ya serikali, bali pia juu ya kila raia.”
-
Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba: Mgawanyiko na Vita vya Ndani Havina Mshindi, Amani Ndiyo Ushindi wa Taifa
Kupitia salamu zake za Krismas - Waziri Mkuu ameutanabahisha Umma wa Watanzania dhidi ya Mgawanyiko na kusisitiza umuhimu wa Amani.
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum | Cheti cha Heshima Kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Kassim Majaliwa ni Taswira Halisi ya "Falsafa ya Upendo na Umoja wa Kudumu"
Kulinda na kuendeleza upendo na umoja ni jukumu la kila mwanajamii - kwa maneno, kwa matendo na kwa maamuzi - ili kujenga mustakabali wenye matumaini, mshikamano na heshima kwa utu wa binadamu.
-
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad: Israel na Trump wamesalimu amri mbele ya masharti ya Muqawama huko Gaza
Ayatollah Sayyid Yasin Musawi, Imamu wa Ijumaa wa Baghdad na mmoja wa wasomi mashuhuri wa Hawza ya Najaf Ashraf, amesisitiza kuwa “tukio muhimu zaidi duniani kwa sasa ni kusalimu amri kwa Israel na Waziri Mkuu wake Benjamin Netanyahu pamoja na Rais wa Marekani Donald Trump mbele ya masharti ya Muqawama wa Kiislamu huko Gaza.” Amesema kuwa usitishaji mapigano uliotangazwa hivi karibuni ni “ushindi wa wazi wa Muqawama na matokeo ya uimara wa wananchi wa Palestina.”
-
Mwanamke Mshirika wa Harakati za Kiislamu kutoka Iraq katika mahojiano na Abna: (Sehemu ya Pili)
Ni nani wanaopinga umoja kati ya Iran na Iraq? / Macho ya Marekani na Israel yako kwenye mapato ya mafuta ya Iraq
"Zainab Basri alisema: Baadhi ya wanasiasa wa Kurdistan ya Iraq, na kwa ujumla makundi ya kisiasa yanayohusiana na Marekani na nchi za Kiarabu za Ghuba, hawapendezwi na uhusiano wa Iraq na Iran..."