Ustaarabu
-
Vita vya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu si kwa sababu ya Nyuklia, bali ni kwa sababu ya Uenezi wa Ustaarabu Mpya wa Kiislamu
"Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mkusanyiko wa damu zote zilizomwagika, subra, dhulma, mateso na juhudi za wanazuoni na Mashia katika historia nzima. Kuyaumiza mapinduzi haya ni sawa na kuumiza Uislamu kwa jeraha lisilopona kwa karne nyingi.”
-
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Qum atoa wito wa umoja wa wanazuoni na wasomi kwa ajili ya kufanikisha ustaarabu mpya wa Kiislamu
Hujjatul Islam wal Muslimin Muhammad Saeed Waezi amesema kuwa kuimarisha umoja na mashauriano kati ya wanazuoni na wasomi wa Kiislamu ni jambo muhimu katika kukabiliana na changamoto za sasa na kufikia malengo makubwa ya ustaarabu mpya wa Kiislamu.
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania Kimeandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu Ustaarabu wa Magharibi na Mikakati yake ya Kikoloni
Ustaarabu wa Magharibi na misingi ya kuuelewa ipasavyo.
-
Kozi zenye Mada Maalum | “Misingi ya Itifaki na Ustaarabu”, "Dhana, Historia, Dira, Dhima na Hadhi ya JMAT", Na Zingine Zitatolewa kupitia JMAT
Lengo kuu la kozi hizi ni kuwajengea washiriki uwezo wa kuwa mabalozi wa maadili, ustaarabu na mawasiliano bora katika jamii na katika nafasi zao za kazi au uongozi.