Nicholas Ken O’Keefe amesema kuwa taswira ya Iran inayotolewa na baadhi ya vyombo vya habari vya Magharibi haifanani na hali halisi, akisisitiza kuwa Iran imeonyesha uwezo mkubwa wa kustahimili mashinikizo ya kimataifa na kuwa mfano wa kupinga dhuluma.
Katibu Mkuu wa Ansar Allah, Abdul-Malik al-Houthi, adai nyaraka za kesi ya Jeffrey Epstein zimefichua mtandao mpana wa uhalifu na kutoa madai kuhusu chimbuko la Uzayuni, akisisitiza umuhimu wa kuzichunguza kwa kina.