Katibu Mkuu wa Ansar Allah, Abdul-Malik al-Houthi, adai nyaraka za kesi ya Jeffrey Epstein zimefichua mtandao mpana wa uhalifu na kutoa madai kuhusu chimbuko la Uzayuni, akisisitiza umuhimu wa kuzichunguza kwa kina.
Arubaini ya mwaka huu si tu tukio la ibada bali ni ujumbe wa mapambano ya kimaanawi na kisiasa. Iran inachukua nafasi ya kiashura ya dunia, ambapo uongozi, mshikamano, na upinzani dhidi ya dhulma vinaonyeshwa kwa njia halisi.