Mwakilishi wa Urusi mjini Vienna amesema wito wa nchi za Magharibi wa kurejesha mara moja ukaguzi wa vituo vya nyuklia vya Iran hauna uhalali, akieleza kuwa hatua za Marekani na washirika wake ndizo zilizochochea hali ya sasa.
Ujumbe wa Iran mjini Vienna umesema kuwa azimio la Baraza la Magavana la IAEA dhidi ya Iran ni la kisiasa na lisilo la kitaalamu, ukisisitiza kuwa Tehran itajibu hatua hiyo ili kulinda haki zake zisizoweza kuondolewa.
Kutokana na ongezeko la idadi ya Waislamu nchini Austria, shirika la habari linalopingana na Uislamu, Rair Foundation, limechapisha video kutoka moja ya mtaa wa Vienna, likidai kwamba ongezeko la idadi ya Waislamu linaelekea kubadilisha Vienna, vizazi viwili vijavyo, kuwa jiji lenye Waislamu wengi.