Wamagharibi
-
Sisi na wamagharibi kwa Mtazamo wa Imam Khamenei – Mkutano Uliofanyika Nchini Kenya +Picha
Pourmarjan: “Ayatollah Khamenei, kama mwanafiqhi na mwanafikra mashuhuri katika ulimwengu wa Kiislamu, na ambaye ametumia zaidi ya miaka sitini katika nyanja za kielimu, kidini, kitamaduni, na kisiasa, ametoa mitazamo sahihi na ya kimkakati kuhusu Magharibi. Uelewa wa fikra hizi ni muhimu sana kwa kizazi cha leo cha vijana na wasomi.”
-
Atlantic: Iran Yajenga Njia Mpya na Kuwapita Maadui Zake
Tabia ya ustahimilivu ya Iran na mhimili wa muqawama (mapambano ya upinzani) katika miongo iliyopita imeonyesha kuwa, licha ya mashinikizo na mashambulizi kutoka Marekani na utawala wa Kizayuni, Iran daima imeweza kujirekebisha kimkakati na kupata njia mpya za kukabiliana na changamoto.
-
Kiongozi cha Ansarullah Yemen:
"Jinai dhidi ya Iran hata bada ya kusisitiza kuwa haina haja ya silaha za Nyuklia ni kwa sababu ya misimamo imara Iran juu ya kadhia ya Palestina"
Wamagharibi hatwaki kuona Iran ikiwa ni nchi huru, na hii ni kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuwatetea wananchi wa Palestina na kukataa udhalimu wa uvamizi wa Kizayuni kwa ardhi za Taifa la Palestina.