baadhi
-
Kambi Zilizozunguka Iran Zageuka Kuwa Ramani ya Malengo: Somo la Qur’ani Kuhusu Nguvu na Maandalizi
Watu wengi walipoona kambi nyingi za kijeshi za Marekani zikizunguka Iran, walidhani kuwa Iran haitaweza kujinasua na kwamba kambi hizo zingekuwa sababu ya kuanguka kwake. Hata hivyo, kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’ani Tukufu, nguvu, maandalizi na uwezo wa kujilinda ni miongoni mwa misingi muhimu ya kukabiliana na maadui.
-
IRGC Yakanusha Taarifa za Kuuawa kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah Sheikh Naim Qassem
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limezitaja kuwa za uongo taarifa zinazodai kuwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, ameuawa katika shambulio la Israel kusini mwa Beirut, likisema ni sehemu ya vita vya kisaikolojia na upotoshaji wa habari.
-
Mjadala Mkubwa Wazuka Mitandaoni Kuhusu Taarifa Zinazokinzana za Uwezo wa Kijeshi wa Iran
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamehoji taarifa zinazokinzana kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran, baada ya baadhi ya vyombo vya habari kudai kuwa umedhoofika pakubwa huku matukio ya baadaye yakionyesha Iran ikiendelea na operesheni za kijeshi, hali iliyozua mjadala kuhusu ukweli wa taarifa hizo.
-
Ayatullah Ramezani: Yesu (a.s) ndiye Mwokozi wa Binadamu / Amani ya kweli haiwezekani bila haki
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s) akizungumzia hali ya sasa ya dunia: Ameyasema kwamba jamii ya binadamu leo inakabiliwa na umasikini, ubaguzi, ukosefu wa haki, ujinga, upuuzi na ukoloni wa kihisia. Masuala haya yamezua wasiwasi mkubwa. Aidha, tabia ya ukatili imeibuka katika baadhi ya jamii, na matukio ya uvunjaji wa haki, mauaji na vurugu yameenea.
-
Onyo la Profesa wa Chuo Kikuu cha Australia kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu baada ya tukio la kigaidi la Sydney
Mark Kenny, Profesa wa Masomo ya Australia katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Australia (Australian National University), ameonyesha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa hatari ya chuki dhidi ya Uislamu baada ya shambulio la Sydney na kutoa onyo kuhusu suala hilo.
-
Siri iliyofichuliwa na wafungwa wa Palestina kutoka katika gereza la Israel kuhusiana na wafungwa waliopotea wa Lebanon
Baadhi ya waliokuwa huru wamesema kuwa walikutana na Walebanon waliokuwa wameorodheshwa awali kama waliopotea katika magereza ya Ofer, Nafha, Ramla, na Ashkelon.
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.