cairo
-
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kujadili na kukabiliana na mradi wa Israel kuhusu Somalia
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, katika mkutano wa dharura uliofanyika leo Jumapili nchini Misri, imeitikia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulitambua eneo la Somaliland, na ikaeleza kuwa hatua hiyo ni tishio kwa usalama wa kikanda na ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Misri: Cairo haitaruhusu uhamishaji wa wakaazi wa Gaza
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri alitangaza kwamba nchi yake haitaruhusu uhamishaji wa wakaazi wa Gaza kwa hali yoyote, kwa sababu hatua hiyo itakuwa sawa na kufutwa kwa suala la Palestina.
-
Makabiliano ya kimya kati ya Misri na Israel huko Sinai
Kuongezeka kwa uwepo wa kijeshi wa Misri katika Sinai na ushirikiano wa kimkakati na China, kumeanzisha mgogoro mpya kati ya Cairo na Tel Aviv na kuweka hatarini mustakabali wa mkataba wa amani wa Camp David.
-