Utoaji wa muswada mpya na Waziri Mkuu wa Canada, unaolenga kukabiliana na uhalifu unaotokana na ueneaji wa chuki, pamoja na marufuku ya kuingia nchini kwa kundi la muziki la Kiayalandi lenye jina «NíACAB», umeanzisha mjadala mpana kuhusu mipaka ya uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo.
Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa inaongezeka, na asilimia 66 ya Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa waathirika wa ubaguzi na chuki za kijinsia na kikabila katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.