imara
-
Imani ya Mahdawi: Vipi Iliwafanya Waislamu wa Kishia Kusimama Imara Katika Mitihani Mikubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu?
Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s), likiwa limejengwa juu ya itikadi ya kumwamini Imam Mahdi (a.t.f.s) aliyeahidiwa kwa mataifa yote, linabeba mafundisho yenye utajiri mkubwa kuhusu uadilifu na uokovu. Mafundisho haya yamewafanya Waislamu wa Kishia kubaki imara, thabiti na wenye heshima katika mitihani na misukosuko mikubwa ya ulimwengu wa Kiislamu.
-
Hotuba ya 22 ya Nahjul-Balagha: Njia za Kihistoria za Kurejesha Batili!
Katika sehemu hii ya hotuba, Imam Ali (a.s) anasisitiza kwamba vyombo vya habari na mbinu za kisaikolojia ni silaha kuu za Shetani na wafuasi wake katika kujaribu kurejesha dhulma na uongo katika jamii.
-
Sheikh Naim Qasim: Baada ya Mashambulizi ya Adui, Hezbollah Ilisimama Imara na Imekuwa Imara Zaidi / Wakati wa Vita Sikukubali Kwenda Iran
Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, Sheikh Naim Qasim, amesisitiza kwamba ingawa kuna uwezekano wa kutokea kwa vita kati ya Lebanon na Israel, jambo hilo halijathibitishwa, lakini upinzani (muqawama) uko tayari kulilinda taifa la Lebanon hata kama litakabiliwa na hali ya upungufu wa vifaa. Hezbollah Imeimarika Zaidi Baada ya Mashambulizi ya adui.
-
Mahojiano na Mwanaharakati Mnyemeni na Shirika la Habari la ABNA;
Kuhusu Utambulisho wa Kiyemen na Sifa za Sayyid al-Houthi hadi kwenye “Bendera ya Yamen” / Kizazi kijacho nchini Yemen kitakuwa kizazi imara
Sisi na Iran ni Mwili Mmoja Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kindugu uliyojengwa juu ya msingi wa Uislamu, si madhehebu. Tunafuata aya tukufu isemayo: «إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ» - “Hakika waumini ni ndugu.”
-
Ayatullah Nuri Hamedani: Leo, jambo kubwa zaidi la ma’rufu ni umoja kuzunguka mhimili wa Uongozi wa Mapinduzi na kulinda Mfumo wa Kiislamu
Ayatullah Nuri Hamedani amesisitiza kuwa: Kwa uwazi tunatambua kwamba Amr bil Ma’ruf na Nahy anil Munkar ni kati ya wajibu muhimu zaidi wa Kiislamu — au ndio wajibu muhimu zaidi — na hilo peke yake linatosha kuonyesha hadhi ya juu ya wajibu huu, hivyo haipaswi kuuchukulia kuwa jambo dogo.