kadhaa
-
Vikosi vya Urusi Vadai Kuuteka Kikamilifu Mji wa Kupyansk Huko Ukraine - Ukraine Yakanusha!
Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.
-
Jeshi la Israel wafanya mashambulizi mapya Gaza baada ya siku ya mauaji makubwa
Jeshi la Israel limefanya mashambulizi ya anga mashariki mwa Khan Yunis na kuua na kuwajeruhi makumi ya raia. Vikosi vya uokoaji viliopoa miili ya mashahidi na kuwahamisha waliojeruhiwa, huku hospitali zikithibitisha vifo 28, wakiwemo watoto 17.
-
Mtandao wa Ujasusi wa Marekani na Israel Wavunjwa katika Mikoa Kadhaa ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mtandao huu wa waagizwaji wa uovu ulipangwa kutekeleza shughuli za kuhujumu usalama wa taifa katika nusu ya pili ya msimu wa vuli mwaka 1447H / (2025).
-
Upanuzi wa kimataifa wa Al-Qaeda barani Afrika / Kuanzia nchini Mali hadi Nigeria
Kikundi cha “Jamaat Nusrat al-Islam wal-Muslimin” (JNIM) - tawi la Al-Qaeda katika eneo la Sahel - kiliundwa kutokana na muungano wa makundi kadhaa ya ndani nchini Mali, na leo hii, kwa kuchanganya ukatili na mfumo wa utawala sambamba, kimegeuka kuwa miongoni mwa waigizaji wenye ushawishi mkubwa zaidi wa kijeshi katika eneo hilo.