kuheshimu
-
Tone kutoka Nahjul-Balagha 27 | Kuheshimu Hadhi ya Imamu ni Nini?
Matokeo ya utiifu ni nini?. Amirul-Mu’minin Ali bin Abi Talib (AS) katika khutba ya 156 anasema: «إِنْ أَطَعْتُمُونِی فَإِنِّی حَامِلُکُمْ إِنْ شَاءَ اللَّهُ عَلَی سَبِیلِ الْجَنَّةِ» Yaani: “Mkinitii mimi – mimi kama Imamu– bila shaka nitawaongoza katika njia ya Peponi"
-
Mtume Muhammad (s.a.w.w) na Misingi ya Utengamano katika Jamii
Mtume (s.a.w.w) aliweka msingi wa amani kupitia Mkataba wa Madina, uliounganisha Waislamu, Mayahudi na makabila mengine chini ya sheria ya haki na ulinzi wa pamoja.
-
Mazungumzo kati ya Taliban na Pakistan mjini Istanbul yaingia siku ya tatu
Zabihullah Mujahid, msemaji wa Taliban, leo asubuhi (Jumatatu, tarehe 27 Oktoba 2025) amesema kuwa mazungumzo kati ya ujumbe wa Afghanistan na ule wa Pakistan yanaendelea mjini Istanbul, Uturuki, kwa siku ya tatu mfululizo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje:
Ulinzi Usio wa Kijeshi lazima uwe makini na wenye umakini wa hali ya juu
Kauli hiyo imetolewa katika ujumbe wake maalum kwa mnasaba wa Wiki ya Kuheshimu Ulinzi Usio wa Kijeshi, ambapo amesema kuwa kipindi hiki ni fursa muhimu ya kueleza umuhimu wa mikakati na mipango ya kuongeza usalama, uimara, na kinga ya miundombinu ya taifa dhidi ya kila aina ya vitisho vya maadui.