kujilinda
-
Kim Jong Un Aagiza Korea Kaskazini Kuimarisha na Kupanua Uwezo wa Silaha za Nyuklia
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameagiza nchi yake kuongeza na kuimarisha uwezo wa vikosi vya nyuklia, akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuimarisha uwezo wa kujilinda dhidi ya vitisho vya usalama.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Tuliyaonya Mataifa Jirani Kuhusu Silaha za Marekani na Tutaendelea Kulinda Maslahi Yetu
Makamu wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema Tehran iliziarifu rasmi nchi jirani kuwa silaha zozote za Marekani zitakazoingia Iran kupitia Ardhi zao, Ardhi hizo zitachukuliwa kuwa sehemu ya uwanja halali wa kujilinda wa Iran.
-
Tehran Yalaani Uchokozi wa Kijeshi wa Marekani Dhidi ya Iran, Yasisitiza Haki ya Kujilinda
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali kile ilichokiita “uchokozi wa kijeshi” wa Marekani dhidi ya nchi hiyo, ikisisitiza kuwa Iran haitasita kutumia haki yake ya kujilinda dhidi ya mashambulizi yoyote yanayoilenga.
-
Waziri wa Utamaduni wa Iran: Mshikamano kati ya Iran na Lebanon ni Hitaji la Kimkakati la Kujilinda
Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa Iran na Lebanon wanakabiliwa na adui mmoja wa pamoja, na kwamba kuimarisha mshikamano kati ya mataifa hayo mawili si suala la hisia za kibinadamu pekee, bali ni hitaji la kimkakati katika kujilinda dhidi ya vitisho vya pamoja.
-
Mtaalamu wa Lebanon azungumza na ABNA:
Kukiri kwa Trump ni ushahidi rasmi wa uvamizi dhidi ya Iran na ukiukajiwa kanuni za Umoja wa Mataifa -Ushawishi wa Marekani ndani ya Umoja wa Mataifa
Dk. Ali Matar, mhadhiri wa Sayansi ya Siasa na mtafiti wa masuala ya uhusiano wa kimataifa na sheria za kimataifa katika Chuo Kikuu cha Lebanon, amesisitiza kuwa kukiri kwa Donald Trump kuhusu ushiriki wa Marekani katika vita dhidi ya Iran ni ushahidi rasmi wa uvamizi na uvunjaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.