Waziri wa Ulinzi wa Pakistan alisema: "Shambulio la Israel dhidi ya Qatar lilifanyika kwa ridhaa ya Amerika, na Waislamu wanapaswa kuelewa ukweli huu na kutofautisha kati ya "Marafiki bandia na maadui wa kweli."
Uislamu, ili kuzuia kuporomoka kwa jamii kunakosababishwa na tofauti za kitabaka, umezingatia misingi ya kimaadili na kiitikadi kama vile tauhidi na uadilifu, na kwa kuweka hukumu za kiuchumi kama vile zaka, khumsi na kuharamisha riba, pamoja na kubainisha majukumu ya serikali ya Kiislamu, unalenga kusambaza mali kwa uadilifu na kusaidia wahitaji. Hatua hizi zimekusudiwa kuunda jamii yenye usawa na iliyo mbali na ufa mkubwa wa kitabaka.