kuunda
-
Barua za Nahjul Balagha - Barua ya 32 | Mbinu za Muawiya, Njia ya Vyombo vya Habari vya Kigeni vya Leo
Mbinu za vyombo vya habari katika kueneza batili na kuunda shubha ili kuwazamisha watu ndani ya fikra zisizo za Kimungu zimekuwa zikitumiwa na wapinzani wa njia ya haki katika vipindi vyote vya historia. Ingawa njia hizi hubadilika kulingana na zama, malengo yao hubaki yale yale. Kurejea mbinu hizi katika mojawapo ya barua za Imam Ali (a.s) kwa Muawiya na kulinganisha na mbinu za vyombo vya habari vya kigeni katika ulimwengu wa leo kunadhihirisha ukweli kwamba “Muawiya na wanaofanana naye” katika historia wamejitahidi kupotosha wengine ili kufikia malengo yao wenyewe-juhudi ambazo hatimaye hupelekea maangamizi yao pamoja na maangamizi ya wale wanaowafuata.
-
Picha kuhusu mradi wa fani ya ushonaji kwa ajili ya Palestina katika Msikiti wa Afrika Kusini
Baadhi ya wanaharakati na wafuasi wa Palestina nchini Afrika Kusini wanashona vipande vya kitambaa vyenye rangi za bendera ya Palestina, kuunda kazi ya ishara ya kumbukumbu kwa watoto waliopoteza maisha katika vita vya Ghaza. Kazi hii itafunguliwa rasmi mnamo tarehe 29 Novemba, Siku ya Kimataifa ya Umoja na Palestina.
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Osama bin Laden alikuwa zao la Amerika / Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuunda Muungano sawa na NATO
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan alisema: "Shambulio la Israel dhidi ya Qatar lilifanyika kwa ridhaa ya Amerika, na Waislamu wanapaswa kuelewa ukweli huu na kutofautisha kati ya "Marafiki bandia na maadui wa kweli."
-
Vikwazo vya kuibuka kwa “tofauti za kitabaka” kama chanzo cha kuporomoka kwa jamii katika Uislamu
Uislamu, ili kuzuia kuporomoka kwa jamii kunakosababishwa na tofauti za kitabaka, umezingatia misingi ya kimaadili na kiitikadi kama vile tauhidi na uadilifu, na kwa kuweka hukumu za kiuchumi kama vile zaka, khumsi na kuharamisha riba, pamoja na kubainisha majukumu ya serikali ya Kiislamu, unalenga kusambaza mali kwa uadilifu na kusaidia wahitaji. Hatua hizi zimekusudiwa kuunda jamii yenye usawa na iliyo mbali na ufa mkubwa wa kitabaka.