mashinikizo
-
Imam wa Sala ya Ijumaa wa Baghdad:
"Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje
-
France 24: Sera la Laicité (Utaifa usioegemea Dini) nchini Ufaransa yageuzwa kuwa chombo cha shinikizo la kisiasa dhidi ya Waislamu
Wataalamu: Sheria hizi zinalenga kundi moja tu - Waislamu Nicolas Cadène, ambaye ni mtaalamu maarufu wa sheria ya Ulaikishe na aliyewahi kuwa ripota wa Kituo cha Uangalizi wa Ulaikishe, ameiambia France 24 kwamba: “Mipango hii inawalenga Waislamu pekee, na inaonyesha kukubalika kwa ubaguzi wa wazi.”
-
Marekani na Israel wanaandaa / Wanatengeneza simulizi (riwaya) mpya ili kuongeza shinikizo dhidi ya Hezbollah na Lebanon
Israel, kwa msaada wa Marekani, inajaribu kutengeneza mazingira ya kuanzisha vita na kuongeza mashinikizo dhidi ya Lebanon, kwa kutishia kulazimisha Hezbollah ivuliwe silaha kufikia mwisho wa mwaka.
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia Lebanon Aikosoa Vikali Serikali ya Nchi Hiyo
Alielekeza maneno yake kwa Rais Joseph Aoun, akisema: "Uliwaambia watu wa Muqawama kuwa waitegemee Serikali – lakini haukusema ni Serikali ipi hiyo? Watu wetu hawako tayari kuwa wahanga wa wauaji ambao watawatendea kama walivyowatendea Wapalestina."
-
A'shura ni ishara ya uvumilivu katika vyombo vya habari vya Bahrain, lakini kwa kweli, ni eneo la ukandamizaji dhidi ya Mashia
Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Bahrain amesema: A'"shura inatolewa kila mwaka katika vyombo vya habari vya Bahrain kama ishara ya uhuru na uvumilivu wa kidini, lakini kivitendo wafuasi wa Kishia wanakabiliwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria na vikwazo vikali, kuanzia kukamatwa na kuandikiwa wito hadi kuharibiwa maeneo ya kidini na mashinikizo ya kubadili mavazi ya kidini.