matendo
-
Dkt. Pezeshkian: Umoja na Mshikamano Nguvu Yetu Dhidi ya Maadui
Alionya dhidi ya kuvunjika kwa mshikamano wa taifa na urafiki wa majirani, akibainisha kuwa hayo ni malengo ya Marekani na Israel ya kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu na nchi za jirani.
-
Sheikh Juma Shughuli Kupitia Mahdi TV, Nairobi asisitiza kuwa: "Imani ya Mja Iwajibike na Vitendo"
Hii ni tafsiri muhimu inayoonyesha kuwa ushuhuda wa imani unaonyeshwa kivitendo, si kwa historia au usuhuba wa Mtu kwa Mtume au kuishi Zama moja na Mtume (saww).
-
"Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"
Maelezo yafuatayo yanaeleza matendo au sifa sita ambazo kuyatekeleza kunaweza kusababisha wokovu na kuingia peponi. Mambo haya sita ni nguzo za msingi za maisha ya kiimani na yenye kujitolea. Maandiko haya yanalenga, kwa kuyataja mambo haya, kutoa njia iliyo wazi kuelekea kwenye furaha ya Akhera.
-
Mazungumzo ya Biashara Huria kati ya Uingereza na Israeli yameghairiwa (yamesitishwa); Balozi wa Israeli London aitwa
Serikali ya Uingereza imeamua kusitisha mazungumzo ya mkataba wa biashara huria na utawala wa Kizayuni kutokana na kuongezeka kwa ghasia zinazofanywa na wakazi wa maeneo ya mizozo na uendeshaji wa operesheni za kijeshi katika ukanda wa Ghaza. Aidha, imeweka vikwazo dhidi ya watu na mashirika yanayohusiana na ghasia hizi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza pia amemwita balozi wa utawala huo ili kutoa maelezo kuhusu hali hiyo na kusisitiza umuhimu wa kuacha mara moja matendo ya ukatili.