matibabu
-
Iran Yatangaza Uzinduzi wa AlphaZa, Dawa ya Kwanza ya Ndani ya Tiba ya Saratani kwa Teknolojia ya Mionzi ya Alpha
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) limetangaza kuwa linakaribia kuzindua rasmi AlphaZa, dawa ya kwanza iliyotengenezwa nchini humo kwa kutumia teknolojia ya mionzi ya alpha, inayolenga kutibu saratani zilizo katika hatua za juu na zinazoshindikana kwa matibabu ya kawaida. Hatua hiyo inaashiria mafanikio makubwa ya Iran katika matumizi ya amani ya teknolojia ya nyuklia katika sekta ya afya.
-
Zaidi ya Huduma 164,000 za Matibabu Zatolewa kwa Mahujaji wa Iran katika Ardhi Takatifu
Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran imetangaza kuwa imewapatia mahujaji wa Iran zaidi ya huduma 164,000 za afya na matibabu wakati wa msimu wa Hija, huku mahujaji tisa wakiripotiwa kulazwa hospitalini na wanne kufariki dunia hadi sasa.
-
Afisa wa Jeshi la Israel: Theluthi Moja ya Wanajeshi Wanakabiliwa na Matatizo ya Akili
Ripoti rasmi za utawala wa Kizayuni zinaonyesha kuongezeka kwa kiwango kisicho cha kawaida cha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanajeshi. Kwa mujibu wa Tamar Shimony, Naibu Mkuu wa Idara ya Urejeshaji (Rehabilitation) katika Wizara ya Vita ya Israel, zaidi ya wanajeshi 85,000 wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
-
Kuendelea kwa Mapigano Makali kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka Kaskazini mwa Kordofan
Mapigano makali kati ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka (RSF) yanaendelea katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Kordofan Kaskazini.