mchango
-
Mchango wa Dola Milioni 6.5 wa Adnan Ar’ur Wazua Gumzo Kubwa Mitandaoni: Fedha hizo Zimetoka Wapi?
Adnan Ar’ur, mwanazuoni wa Kisalafi kutoka Syria, amezua mjadala mpana baada ya kutangaza kuchangia dola milioni 6.5 kwa ajili ya kampeni ya “Fidaa Li-Hamāh”. Taarifa hii ilisababisha mijadala mingi katika Syria na kwenye mitandao ya kijamii.
-
Shirika la Kiislamu la Myanmar limeonyesha shukrani zake kwa Mashia kutokana na mchango wao katika kukuza maelewano kati ya dini tofauti
Katika hafla iliyofanyika asubuhi ya jana katika Hoteli ya Central Yangon, Myanmar, Taasisi ya Kiislamu ya Al-Azhar ya nchi hiyo ilitoa shukrani zake kwa wanachama wa jamii ya Shia kutokana na mchango wao katika kuimarisha mshikamano wa amani na maelewano kati ya Waislamu, pamoja na kukuza urafiki kati ya dini na tamaduni tofauti. Hujjatul-Islam Haji Masoom Ali alikabidhiwa Tuzo Maalumu ya Taasisi hiyo kwa niaba ya jamii ya Shia ya jiji la Yangon.
-
Hispania: Waislamu na wahamiaji wana jukumu muhimu katika uchumi na usalama wa kijamii
Serikali ya Hispania imeonyesha katika ripoti yake, huku ikikanusha imani za makundi ya mrengo wa kulia mkali, kwamba Waislamu na wahamiaji wameshiriki vizuri katika jamii ya nchi hiyo na wana mchango mkubwa katika uchumi na kuhakikisha usalama wa kijamii, ingawa bado wanakabiliana na ubaguzi katika baadhi ya maeneo kama upatikanaji wa makazi.
-
Dkt. Pezeshkian katika Mkutano wa leo wa Baraza la Mawaziri:
Marekani bila shaka yoyote ina mchango wa moja kwa moja katika hujuma za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni | Majibu yatakuwa ya maamuzi makali
Rais wa Iran amekosoa uungaji mkono wa Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi kwa vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni na kusema: "Kama vile vikosi vyetu vya kijeshi hadi hivi sasa vimemendelea kutoa majibu yanayofaa na yenye nguvu, iwapo hatua za kiuadui za utawala wa Kizayuni zitaendelea, basi majibu yatakuwa ya maamuzi na makali zaidi."