Afisa wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Mark Fitzpatrick, amesema kuwa mashambulizi ya makombora ya Iran yamevunja dhana ya ulinzi usio penyezeka wa Israel na kubadilisha mizani ya kuzuiana, huku akibainisha kuwa mpango wa makombora wa Iran sasa umegeuka kuwa tishio la kwanza kwa Tel Aviv.
Mtume (saww) anatuambia:
Ikiwa unampenda Fatima (a.s) kwa moyo wa kweli, basi upendo huo utakuwa mwanga, kinga, na msaada wako katika hatua ngumu zaidi za Akhera.