mzingiro
-
Venezuela yaamuru Jeshi la Wanamaji kuandamana na meli za mafuta katikati ya mzingiro wa baharini wa Marekani
Rais wa Venezuela Nicolás Maduro ameagiza jeshi la wanamaji kuandamana na meli zinazobeba mafuta ghafi ya Venezuela kuelekea masoko ya Asia, ikiwa ni hatua ya moja kwa moja ya kujibu kile ambacho Caracas inakiita mzingiro wa baharini uliowekwa na Marekani chini ya Rais Donald Trump.
-
Kufungwa kwa Uwanja wa Ndege wa Sana’a kumeweka maisha ya maelfu ya wagonjwa katika hatari
Kwa kuendelea kwa mzingiro na kusitishwa kwa shughuli za Uwanja wa Ndege wa Sana’a, maelfu ya wagonjwa wa Yemen wamenyimwa upatikanaji wa dawa na fursa ya kutibiwa nje ya nchi.
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya Al-Fashir ni mfano wa mauaji ya kimbari
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”
-
Jeshi la Majini la Israel lavamia Msafara wa Uhuru uliokuwa ukielekea Gaza
Msafara wa Kimataifa wa Ustahimilivu (al-Sumud) umetangaza kuwa Jeshi la Majini la utawala wa Kizayuni limeushambulia Msafara wa Uhuru uliokuwa ukielekea Gaza kwa lengo la kuvunja mzingiro unaoendelea dhidi ya eneo hilo.
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.