mzozo
-
Ripoti ya Vyombo vya Habari vya Kiebrania Kuhusu Madhara ya Vita na Iran: Kuibua Upya Teknolojia Iliyo Potea Kutachukua Miaka
Gazeti la Yedioth Ahronoth linaripoti kuwa vita vya siku 12 dhidi ya Iran vilichukua mipango ya miaka miwili, na baadhi ya teknolojia za siri za Israel ziliharibika, ambapo kuibua upya kunahitaji miaka kadhaa na kuanza upya katika baadhi ya nyanja.
-
Onyo la Financial Times kuhusu athari za mzozo na Iran; hatari ya vifo kwa wanajeshi wa Marekani
Financial Times limeonya kuwa hatua yoyote ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran inaweza kusababisha vifo vya wanajeshi wa Marekani na kuathiri siasa za ndani pamoja na kampeni ya Donald Trump, huku uwezo wa mashambulizi makali ukitajwa kuwa mdogo na wa muda mfupi.
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Marekani inatafuta kuzifuta silaha za Hezbollah;
Huku Israel ikiwa kwenye hatari ya kuanza mzozo mpya; Upinzani unabakia mstari wa mbele katika kulinda uhuru na usalama wa Lebanon
Kwenye nyuma ya pazia ya mabadiliko haya, Marekani na Israel kwa vitendo wanaandaa mfumo wa kisiasa na kiusalama ambao lengo lake kuu ni kumaliza uwepo wa vikosi vya upinzani kwenye mipaka ya kusini.
-
Iran Yazindua Makombora Mapya Yenye Uwezo wa Kuongozwa Angani
Wataalamu wa kijeshi wanaona kuwa teknolojia ya kuongozwa kwa Makombora yakiwa angani inafanya makombora hayo kuwa na faida kubwa kutokana na uwezo wake wa kurekebisha au kubadilisha mwelekeo kwa wakati halisi na Sahihi, jambo linaloongeza usahihi na kupunguza uwezekano wa kuruka hadi mbali bila kufikia shabaha yake.
-
Mwenyekiti wa Chama cha Majlis Ittehad-ul-Muslimeen nchini India;
Ameonesha msimamo wake kufuatia mjadala uliyoibuka dhidi ya bango lenye maandishi “Nampenda Muhammad”.
Kiongozi wa chama cha Majlis Ittehad-ul-Muslimeen nchini India, akijibu mzozo ulioibuka kutokana na mabango yenye maandishi “Nampenda Muhammad” katika jimbo la Uttar Pradesh, ameishutumu serikali ya India na viongozi wa eneo hilo kwa kuweka vizuizi vya kibaguzi na vya upendeleo.
-
Ofisi ya Umoja wa Mataifa Tehran: Raia wa kawaida hawapaswi kuwa walengwa kamwe | Tunasimama bega kwa bega na Iran
Ujumbe huo unasisitiza kuwa: "Njia pekee ya kutoka katika mzozo huu ni diplomasia. Kupunguza mivutano na kuendeleza mazungumzo kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa kuzingatia roho ya Katiba ya Umoja wa Mataifa ndiyo njia salama zaidi ya kulinda maisha ya watu na kuhifadhi amani tunayohitaji."