sekta
-
Mkutano wa Tatu wa Kitaaluma kuhusu Maombolezo na Desturi za Kidini; Kusisitiza nafasi ya kihadhari ya Hay’a katika jamii na familia
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Babakhani pia alisisitiza nafasi ya wanawake katika hay’a na kusema: “Tangu kuundwa kwa hay’a, wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika uongozi wa kitamaduni na kidini - kuanzia Bibi Fatima az-Zahra (a.s) na Bibi Zaynab (a.s) hadi leo - na wametoa mchango mkubwa katika kuhifadhi na kueneza utamaduni wa hay’a. Uwepo wao umeleta athari kubwa katika kufundisha mafundisho ya dini na kuonyesha kwa jamii fadhila za Ahlul-Bayt (a.s).”
-
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu: Vita vya Siku 12 Vilikuwa Vita vya Kwanza vya Akili Bandia (AI)
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Mahdi Imanipour, amesema kwamba dunia sasa imeingia katika zama za Akili Bandia (AI) na kwamba uwanja wa mapambano ya kimataifa umebadilika kikamilifu. Amesema pia kuwa vita vya siku 12 vilivyohusisha Iran na utawala wa Kizayuni (Israeli) vilikuwa “vita vya kwanza vya akili bandia”.
-
Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya
Akizungumza katika kipindi cha Sports Extravaganza kinachorushwa na TV47 na kuendeshwa na Tony Kwalanda, Dkt. Gholampour alisema kuwa michezo ni daraja muhimu la kuunganisha mataifa na jamii.
-
Imam Khamenei afanya ziara muhimu ya kuonesha mafanikio ya sekta binafsi mjini Tehran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei siku ya Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.
-
Mazungumzo ya Biashara Kati ya Kenya na Iran
Mazungumzo makubwa na muhimu ya Iran na Kenya kuhusu kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi mbili.