tathmini
-
Kinyume na madai ya Taliban; Umoja wa Mataifa waripoti kuongezeka kwa shughuli za ISIS nchini Afghanistan
Umoja wa Mataifa katika tathmini yake ya hivi karibuni ya kiusalama umetangaza kuwa ISIS Khorasan, kinyume na madai ya Taliban, si tu kwamba haijadhibitiwa, bali kwa kubadili mbinu na kuvutia wapiganaji wapya, imepanua shughuli zake hadi katika miji mikubwa ya Afghanistan.
-
Mtaalamu wa masuala ya Lebanon katika Mahojiano na ABNA:
Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi / Zaidi ya Makamanda 400 wa Hizbullah wameuawa na Israel
Dkt. Ajarloo, mtaalamu wa masuala ya Lebanon, alisema: Inaonekana kuwa uwezo wa Hizbullah, licha ya kupata madhara makubwa, katika baadhi ya nyanja unaendelea kuimarika. Kwa sababu hiyo, hatua na tathmini za Israel pamoja na uwezekano wa kutokea kwa vita vinaashiria kwamba Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi.
-
Uchambuzi na Tathmini ya Thawabu za Ajabu na za Kipekee kwa Matendo Rahisi
Kuwepo kwa thawabu kubwa kwa baadhi ya matendo rahisi ni jambo lisilopingika, kwa sababu mizani ya Mwenyezi Mungu katika kutoa malipo haifanani na mizani ya kidunia.
-
Kikao Maalum cha Uchambuzi wa Masomo ya Qur’an Tukufu Chafanyika Madrasa ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni, Dar-es-salaam
Katika kikao hicho, walimu mbalimbali walitoa maoni kuhusu mbinu bora za kufundishia na kuhimiza nidhamu ya kielimu, huku wanafunzi nao wakipewa nafasi ya kueleza changamoto wanazokutana nazo.
-
Tathmini ya Mashirika 8 ya Kijasusi ya Marekani Kuhusu Kushindwa kwa Trump Katika Kuishambulia Iran
Tathmini nyingi kutoka ndani ya vyombo vya usalama vya Marekani zinaonyesha kuwa Iran bado ina uwezo wa kuendeleza mpango wake wa nyuklia. Badala ya kuuzuia, mashambulizi ya Marekani huenda yameifanya Iran kuwa na msimamo mkali zaidi na kufikiria kuujenga kwa matumizi ya kijeshi.