Katika maisha ya kila siku, akili zetu mara nyingi hujaa mawazo hasi, wasiwasi, kumbukumbu chungu, na uzoefu usio na manufaa tena. Kama tunavyofanya usafi wa nyumba wakati wa sikukuu ya Nowruz, vivyo hivyo tunapaswa kufanya “usafi wa akili” zetu pia.
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Lebanon wamefanya maandamano na mikutano ya hadhara kupinga uamuzi wa serikali wa kuhodhi na kuvunja silaha za vikosi vya Muqawama.