Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”
Katika maisha ya kila siku, akili zetu mara nyingi hujaa mawazo hasi, wasiwasi, kumbukumbu chungu, na uzoefu usio na manufaa tena. Kama tunavyofanya usafi wa nyumba wakati wa sikukuu ya Nowruz, vivyo hivyo tunapaswa kufanya “usafi wa akili” zetu pia.
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Lebanon wamefanya maandamano na mikutano ya hadhara kupinga uamuzi wa serikali wa kuhodhi na kuvunja silaha za vikosi vya Muqawama.