Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ukiukaji wa sheria na udanganyifu ni sifa zinazotawala mwenendo wa Marekani katika siasa na michezo, akisisitiza kuwa Iran haitakubali vitendo hivyo na itaendelea kutetea haki zake kwa uthabiti.
Baada ya sintofahamu hiyo, Brigedia Jenerali Denis N’Canha, Mkuu wa Brigedi ya Kijeshi mjini Bissau, alitokea katika televisheni ya taifa na kutangaza rasmi kwamba jeshi limechukua madaraka ya nchi.