udhaifu
-
Wazayuni Wajibu Kauli za Trump: “Sisi Hatuko Chini ya Utawala wa Marekani!”
Hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni (Israel) kutokana na utegemezi wake mkubwa kwa siasa za Marekani pamoja na changamoto za ndani, imegeuka kuwa moja ya hatua muhimu za kihistoria katika uhusiano wa kimataifa wa utawala huo. Mabadiliko haya yanaweza kusababisha mabadiliko ya kimkakati katika siasa za Israel na namna inavyoshirikiana na jamii ya kimataifa na Wapalestina.
-
Kurudi kwa Tishio la ISIS nchini Syria / Mashambulizi ya Kigaidi Yasambaa Raqa na Hasaka
Licha ya kupoteza udhibiti wa ardhi, kundi la ISIS bado lina uwezo wa kufanya mashambulizi ya milipuko, uvamizi wa ghafla na mauaji ya kulenga watu binafsi katika maeneo ya Raqa na Hasaka.
-
Shamkhani: Sisi sote tuko kwenye meli moja / Inasikitisha ikiwa meli itapata doa au udhaifu
Mwakilishi wa Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi katika Baraza Kuu la Ulinzi, akisisitiza umuhimu wa kudumisha umoja na mshikamano wa ndani, alisema: "Sisi sote tuko kwenye meli moja ambayo mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu waliizindua, na inasikitisha ikiwa, kwa bahati mbaya, tofauti zetu zitasababisha doa au pengo katika meli hii."
-
Pezeshkian: Shambulio kwenye taasisi za nyuklia ni kielelezo tosha kuwa Marekani ni msababishaji mkuu wa hatua za uhasama za Kizayuni dhidi ya Iran
Jibu kali la Iran lilikuwa ujumbe wa wazi kwa wahalifu wa Kizayuni. Marekani, baada ya majibu makali na ya kuadabisha kutoka kwa vikosi vya ulinzi vya nchi yetu, na kuona udhaifu na ulegeaji wa wazi wa utawala wa Kizayuni, hawakuweza kuvumilia ispokuwa kutojitokeza na kuamua kujitumbukiza rasmi kwenye dimbwi la uhasama."