upande
-
Mwenyezi Mungu Akiwa Upande Wako, Hakuna Awezaye Kukudhuru
Lengo na makusudio ya kauli hii inayosapoti na Aya hizo Tukufu ni kuondoa hofu moyoni, kwa kutomwogopa yeyote anayenuia kuwa “juu yako” au kukudhuru kwa lolote, kwani Mwenyezi Mungu akiwa pamoja nawe, hakuna mwenye uwezo juu yako isipokuwa kwa idhini Yake.
-
Araqchi: Marekani Haitaki Diplomasia ya Kweli, Bali Kulazimisha Iran Kunyimwa Haki Zake
Araqchi: "Diplomasia ya kweli haiwezi kujengwa juu ya mashinikizo na masharti ya upande mmoja. Kuitaka Iran iachane na haki zake halali si mazungumzo, bali ni jaribio la kulazimisha,”
-
Marafiki wa Ukweli Wako Wengi Zaidi Upande wa Pili | Kifo cha Kishahidi kwao hakileti upweke kwao Bali ni Daraja la kukutana na Msafara wa Waumini
"Katika ugeni hakuna hofu ya upweke; marafiki wapendwa wako wengi zaidi upande ule mwingine.” Kwa maana kwamba: Shahidi anapovuka kutoka dunia hii, haogopi kutengwa, kwa sababu anatambua wazi kuwa upande wa pili kuna kundi kubwa la wacha-Mungu, wakweli, watu wema, na mashahidi waliomtangulia, walio tayari kumpokea katika safu yao.
-
Kiongozi wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
"|Leo, yeyote ambaye hayuko pamoja na watu wa Gaza, basi hayuko pamoja na Mungu pia"
Kiongozi wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, akisisitiza kuwa Marekani na Israel si wa kuaminika wala si marafiki wa Waislamu, aliongeza: Leo, yeyote ambaye hayuko upande wa watu wa Gaza, basi hayuko upande wa Mungu pia.