ushawishi
-
Makubaliano ya Iran na Marekani Yazua Mabadiliko Mapya ya Kisiasa Mashariki ya Kati
Makubaliano ya amani kati ya Iran na Marekani yameibua mabadiliko makubwa ya kisiasa Mashariki ya Kati, huku yakionekana kuwa ushindi wa diplomasia lakini yakizua mvutano mpya kuhusu Lebanon, Israel na mustakabali wa uhusiano wa Washington na Tel Aviv.
-
Iran Yapendekeza Mfumo Mpya wa Usalama wa Kikanda katika Mkutano wa BRICS Moscow
Naibu Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Bagheri, amesema pendekezo la Iran la kuanzisha mfumo mpya wa usalama katika eneo limepokelewa vyema katika mkutano wa kimataifa wa viongozi wa usalama wa BRICS uliofanyika Moscow, huku akisisitiza umuhimu wa kuondoa ushawishi wa Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo.
-
Urusi Inapanga Kuanzisha Kambi 9 za Kijeshi Katika Eneo la Kusini mwa Syria
Urusi, kwa lengo la kurejesha ushawishi wake wa kijeshi hadi mpaka wa kusini mwa Syria, inapanga kuanzisha vituo 9 vipya vya kijeshi katika mikoa ya Quneitra na Daraa.
-
Upanuzi wa kimataifa wa Al-Qaeda barani Afrika / Kuanzia nchini Mali hadi Nigeria
Kikundi cha “Jamaat Nusrat al-Islam wal-Muslimin” (JNIM) - tawi la Al-Qaeda katika eneo la Sahel - kiliundwa kutokana na muungano wa makundi kadhaa ya ndani nchini Mali, na leo hii, kwa kuchanganya ukatili na mfumo wa utawala sambamba, kimegeuka kuwa miongoni mwa waigizaji wenye ushawishi mkubwa zaidi wa kijeshi katika eneo hilo.
-
Kulaaniwa Vikali Shambulio Dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa India katika Mkutano wa Maandamano Mjini Lucknow
Hujjatul-Islam Muhammad Miyan Abidi Qummi: "Lengo kuu la mashambulio kama haya,” alisema, “ni kudhoofisha harakati ya ulinzi wa wakfu na kunyamazisha sauti ya wanaotetea haki.”
-
Ayatollah Ramezani: Ueneaji wa Uislamu, zaidi ya kitu chochote, ulikuwa ni kwa sababu ya tabia njema ya Mtume (s.a.w.w)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) akieleza kuwa tabia njema ya Mtume (s.a.w.w) ilikuwa ndiyo sababu kuu ya ushawishi wake, aliongeza: "Popote palipo na maadili ya Mtume, hakika yataacha athari yake.