Tukio la pili la vyombo vya habari “Nahnu Abna Al-Hussain (AS)” linakusudia kukuza na kuunga mkono kazi za kisanii na vyombo vya habari wakati wa msimu wa Arbaeen kwa mtazamo wa kimataifa, likionyesha uwepo wa mataifa mbalimbali, tamaduni, na dini, na litakubali kazi (Mawasilisho) kutoka kwa Mazuwwari wa Arbaeen.
Makumi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina wameuawa na kujeruhiwa baada ya vikosi vya usalama kuwafyatulia risasi wakiwa kwenye Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Mji Mkuu wa Nigeria.