visomo
-
Dr. Ali Taqavi, Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (S) - Dare-es-Salam, Tanzania, katika Mkutano muhimu na Mh.Mufti wa Zanzibar, Sheikh Saleh Kaabi
Kufanyika kwa Hafla ya Qur'an Tukufu ndani ya Zanzibar kwa ushirikiano baina ya Jamiat Al-Mustafa - Dares-Salam - Tanzania na BAKWATA
-
Mubahatha [Kudurusu kwa Pamoja] - Kwa wanafunzi na watafutaji elimu wote!
Ufahamu huwa na viwango tofauti tofauti, kwa malezi au asili. Wewe ambae ni Mwanafunzi katu usipuuze hichi kipengele cha majadiliano ya kielimu baada ya kupokea maarifa ya mada fulani kutoka kwa Mwalimu.
-
Uwezo wa kuthamini na kuheshimu vipengele viwili vya Imani na Utamaduni / Jinsi jamii ya Wairani nchini Tanzania inavyo balansi Imani na Utamaduni
Nyakati kama hizo hutoa somo muhimu katika kuishi pamoja Kitamaduni na kwa utangamano wa Kidini, na hili sio kwa Wairan tu, bali ni kwa Jamii ya Kimataifa.
-
Tangazo la Dua ya Khitma:
Dua ya Khitma ya Kumrehemu Marhuma Ukhti Fatima Ali Mwiru
Dua hii na visomo mbalimbali vitaanza rasmi baada ya Swala ya Eid -ul- Fitr.