vurugu
-
Picha za Siku ya Hasira kwa wapalestina
Ijumaa ya leo wapalestina wameiita kuwa ni siku ya Hasira ambapo baada ya sala ya Ijumaa kumetokea malumbano makali kati ya wapalestina na waisrael hii ni baada ya askari wa Israel kumuua waziri wa Palestina.
-
Maandamano yazuia majaji kufika mahakamani Misri
Maandamano makali ya kupinga hukumu ya mahakama iliyomtoa hatia ya mauaji Dikteta Hosni Mubarak yamepelekea majaji kushindwa kufika mahakamani.
-
Maandamano makubwa kupinga uamuzi wa mahakama Misri
Baada ya mahakama ya Misri kufuta mashtaka ya mauaji ya rais wa zamani wa Misri Dikteta Hosni Mubarak, wananchi wenye hasira kali wameanza maandamano kupinga uamuzi huo.
-
Polisi wa Marekani wamtoboa jicho msichana mjamzito wa kiafrika + picha
Katika hali ambayo hali ya utulivu bado tete nchini Marekani baada ya polisi mweupe kumuua kijana mweusi, msichana mweusi ambaye ni mjamzito atobolewa jicho huko FERGUSON Marekani.
-
Mahakama yamfutia mashtaka ya mauji dikteta Hosn Mubarak
Mahamakama ya Misri imemfutia dikteta Hosn Mobarak mashtaka ya mauaji ya waandamanaji wa mwaka 2011.
-
Hali ya amani na utulivu wa Misri yazidi kuwa mbaya
Watu wapatao wanne wameuwawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa Misri, Cairo, wakati maelfu ya watu walipojitokeza kuandamana kuipinga serikali ya rais wa nchi hiyo Abdel Fatah al-Sisi.
-
Marekani yaongeza askari kukabiliana na maandamano Ferguson
Askari wa kutuliza fujo wapatap 2,000 wamepelekwa ndani na karibu na kitongoji cha Ferguson, nchini Marekani ili kukabiliana na wananchi wenye hasira kali wanaodai haki itendeke.
-
Maandamano Marekani
Picha za Vurugu baada ya polisi aliyemua kijana mweusi asiye na hatia Marekani
Imekuwa ni malalamiko ya kila siku kutoka kwa raia wa Marekani wenye asili ya kiafrika kulalamika kuonewa na kuuliwa na polisi bila ya sababu, hata wengine wakafikia kusema kwamba kuwa mweusi kunamaanisha kuwa mhalifu.
-
marekani
Vurugu za zuka baada ya polisi aliyemua raia asiye na hatia kuachiwa huru Marekani
Imekuwa ni malalamiko ya kila siku kutoka kwa raia wa Marekani wenye asili ya kiafrika kulalamika kuonewa na kuuliwa na polisi bila ya sababu, hata wengine wakafikia kusema kwamba kuwa mweusi kunamaanisha kuwa mhalifu.
-
Askari wa Israel wakabiliana na Wapalestina mjini Hebron
Jeshi la Israel leo limewatanya takribani waandamanaji 300 wa Kipalestina waliokuwa wakirusha mawe katika mji wa Hebron ulioko katika Ukingo wa Magharibi.
-
Putin aapa kutoruhusu nguvu za nje kuiharibu Taifa lake
Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema nchi yake itafanya kila iwezalo kujilinda dhidi ya siasa kali na kuzuia kile alichokiita "mapinduzi ya rangi".
-
Kiongozi wa kijeshi awa Waziri mkuu wa Burkina Faso
Rais wa mpito wa Burkina Faso Michel Kafando jana alimteua Luteni kanali Isaac Zida kuwa waziri mkuu licha ya jumuiya ya kimataifa kumtaka rais huyo kutowapa viongozi wa kijeshi nyadhifa kuu ili utawala wa kiraia urejee
-
Jordan yasisitiza kudumishwa amani kati ya Israel na Palestina
Serikali ya Jordan leo imetaka kuwepo ustahamilivu na utulivu mjini Jerusalem baada ya wapalestina wawili kuwaua watu watano katika sinagogi la wayahudi hapo jana na kuichochea Israel kuanza kubomoa nyumba za washambualiaji.
-
Serikali ya Israel yalipa kisasi kwa kubomoa nyumba ya mpalestina aliyeshambulia kituo cha treni
Serikali ya Israel imebomoa nyumba ya mpalestina aliyefanya mashambulizi katika kituo cha treni na kuua watu watatu.
-
Sinagogo lashambiliwa, wanne wauawa Israel
Watu wawili wenye silaha wanaosadikiwa kuwa ni Wapalestina wamelivamia sinagogi mjini Jerusalem na kuwashambulia waumini waliokuwa ndani ya sinagogi hilo.
-
Congo yatuhumiwa kuua raia wasio na hatia
Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limeishutumu polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa mauaji ya watu 51,
-
Mapigano baina ya India na Pakistani yaongezeka
Mapigano kati ya India na Pakistan kuhusiana na eneo la Kashmir yameongezeka na kufikia kuwa janga la kibinaadamu.
-
Hatimaye Waparestina wote wapewa ruhsa ya kusali katika masjidil Aqswa
Utawala Ghasibu wa Israel umetangaza kuwaruhusu Wapalestina wa umri wote kuingia na kuswali kwenye msikiti unaozozaniwa wa Al-Aqsa, ruhsa hiyo imekuja kufuatia makubaliano yaliyofikiwa kwenye mazungumzo ya Jordan, Israel, na Marekani.
-
Machafuko yazidi kupamba moto baina ya Israel na waparestina
Hali ya utulivu imetoweka kabisa baina ya Waisrael na waparestina baada ya waisrael kuchoma moto Msikiti wa waparestina ambapo pia vitabu vutukufu vya Qur na vimeteketezwa na moto huo.