waarabu
-
Sayyid Abdul-Malik al-Houthi: Uhalifu wa utawala wa Kizayuni unafanywa kwa msaada wa Marekani na kimya pamoja na kutochukua hatua kwa Waarabu
Mtazamo wa wazi wa Marekani inapozungumzia mabadiliko ya Mashariki ya Kati ni kubadilisha hali ya eneo hilo kwa manufaa ya adui wa Kizayuni kwa gharama ya uhuru, kujitegemea, heshima, dini na haki za mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.
-
Alim wa Kishia wa Pakistan:
Waarabu kwa Usaliti Wao Wameiacha Palestina Ikiwa na Majeraha Makubwa Yasiyotibika
Mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Kishia nchini Pakistan amesema kuwa usaliti wa Uturuki, baadhi ya nchi za Kiarabu na washirika wao umeacha majeraha makubwa yasiyoweza kupona katika mwili wa Palestina.
-
Safari ya Walimu wa Sayansi ya Qur'ani hadi “Erambuyeh” Makaburini mwa “Ali bin Hamzah Kufi Kisai”
Baadhi ya walimu wa taaluma za Qur'ani kutoka Iran wamefanya ziara katika kijiji cha Erambuyeh, kilichoko katika mkoa wa Pakdasht, Tehran, wakiamini kuwa eneo hilo ni mahali alipozikwa Abu al-Hasan Ali bin Hamzah al-Kufi, maarufu kama Kisā’i—mmoja wa wasomaji mashuhuri saba wa Qur’ani (Qurrā’ Sab‘a) na mwanazuoni mkubwa wa sarufi na lugha ya Kiarabu katika karne ya pili Hijria.
-
Komenti ya mtumiaji wa Twitter (X)| "Hata baada ya bilioni moja ya miaka, Waarabu hawangeweza kufanya jambo kama hili!"
Nchi za Kiarabu, ziko katika unyonge na haziwezi kuthubutu kuchukua hatua zinazoweza kuathiri moja kwa moja utawala wa Kizayuni, na hivyo kuashiria kukosekana kwa ushirikiano wa kipevu na hatua thabiti dhidi ya Israel.