2 Aprili 2025 - 00:44
Taasisi ya SHIDO - Bukoba, Kagera, Tanzania yafanya mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia Syllabus kwa Walimu

Twende pamoja mkono kwa mkono katika Harakati za Tabligh za kueneza Mafunzo na Maarifa Safi ya Ahlul-Bayt(a.s).

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Uongozi wa Shiat Development Organization (SHIDO) umeendesha mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia muongozo / Syllabus na kufanya maandalizi kabla ya kuingia Darasani kwa Walimu wa Vituo vyake Vitatu (3) vya Kidini vilivyopo:

Taasisi ya SHIDO - Bukoba, Kagera, Tanzania yafanya mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia Syllabus kwa Walimu

(Katobago - Wilaya ya Muleba -, Kemondo na Bukoba Mjini). Lengo kuu la mafunzo hayo ni kuboresha ufaulu na umakini kwa Mwalimu kabla ya kuingia Darasani. 

Karibu twende pamoja mkono kwa mkono katika Harakati za Tabligh za kueneza Mafunzo na Maarifa Safi ya Ahlul-Bayt(a.s).

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha