mafunzo
-
Riwaya ya Mapambano ya Wapalestina Dhidi ya Ukoloni katika Miaka ya 1930 / Mizizi ya Uhalifu na Unyama wa Kizayuni Leo Iko Wapi?!
Filamu Palestine 36 inaonyesha kwa ustadi mkubwa kwamba uhalifu wa utawala wa Kizayuni unatokana moja kwa moja na ukatili, uvamizi na unyama wa Dola ya Uingereza katika kipindi cha ukoloni.
-
Mafunzo kutoka katika Maisha ya Bibi Fatima Zahra (a.s) kwa Ajili ya Kujenga Utulivu katika Familia +
Hadithi ya Mgawanyo wa Majukumu kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima Zahra (s.a) Hadithi inayosimulia jinsi Mtume Mtukufu (s.a.w.w) alivyogawa majukumu ya kifamilia kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima (a.s) ni mfano wa hekima katika ujenzi wa familia ya Kiislamu.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”
-
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) na Sanaa ya Kuonyesha Mapenzi Ndani ya Familia
Familia katika mtazamo wa Mtume Mtukufu (s.a.w) si tu kitovu cha utulivu, bali ni uwanja wa kudhihirika kwa maadili ya kimungu. Yeye (s.a.w.w), kwa tabia yake tukufu na kwa kushikamana na mafundisho ya Qur'an kama vile: " - Semeni naye - kwa upole" (قَوْلًا لَّیِّنًا), na "Hakika wewe ni mwenye tabia njema kabisa" (إِنَّکَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِیمٍ), alionesha ustadi wa kipekee katika kuonyesha mapenzi kwa wake na watoto wake. Makala hii, ikitegemea vyanzo vya Kishia, inachunguza mwonekano wa upendo wa Mtume (s.a.w.w) ndani ya familia, na inatoa mafunzo ya kudumu kwa familia za leo.
-
Kozi zenye Mada Maalum | “Misingi ya Itifaki na Ustaarabu”, "Dhana, Historia, Dira, Dhima na Hadhi ya JMAT", Na Zingine Zitatolewa kupitia JMAT
Lengo kuu la kozi hizi ni kuwajengea washiriki uwezo wa kuwa mabalozi wa maadili, ustaarabu na mawasiliano bora katika jamii na katika nafasi zao za kazi au uongozi.
-
JMAT Yatangaza Mafunzo ya Msingi ya Itifaki na Ustaarabu (J-PEC) Jijini Dar es Salaam
Taarifa zinaeleza kuwa, mafunzo hayo yatafanyika kuanzia tarehe 16 – 18 Septemba 2025, katika Ukumbi wa Nefaland Hotel Hall, Manzese – Argentina, Dar es Salaam, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni kila siku.
-
Mwanachama wa Baraza la Wataalam wa Uongozi katika mahojiano na Abna: Tunahitaji Hawza za Dini ambazo matokeo yake yatakuwa "Wazalishaji wa maarifa"
Mwanachama wa Baraza la Wataalam wa Uongozi alisema: Hawza ya dini inatakiwa kutafakari kwa makini kuhusu wanafunzi wake ambao hujiunga na mashirika mengine na mara nyingine hufanya kazi ambazo ni tofauti kabisa na maarifa au mafunzo yao waliyoyapokea.
-
Mada ya Ijumaa Masjidul Ghadir Kigogo Post: "Hijjah na Athari Zake Katika Malezi (ya Watoto na Jamii)"
Tarehe: Ijumaa, 30 Mei 2025. Mahali: Masjidul Ghadir, Kigogo Post – Dar-es-Salaam, Tanzania. Khatibu wa Swala ya Ijumaa: Maulana Sheikh Hemed Jalala. Mada ya Khutba ya Ijumaa: "Hijjah na Athari Zake Katika Malezi". Khutba hii iliangazia Nafasi ya Hijjah kama Shule ya Malezi ya kina, ikihimiza wazazi na jamii kwa ujumla kutumia mafundisho ya Hijjah kuwalea watoto katika misingi ya Utii, Ucha Mungu, Uvumilivu, Unyenyekevu na Umoja. Pia, iliweka msisitizo wa umuhimu wa Mwezi wa Dhilhijja katika historia ya Uislamu na fadhila za ibada ndani yake.
-
Taasisi ya SHIDO - Bukoba, Kagera, Tanzania yafanya mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia Syllabus kwa Walimu
Twende pamoja mkono kwa mkono katika Harakati za Tabligh za kueneza Mafunzo na Maarifa Safi ya Ahlul-Bayt(a.s).