19 Aprili 2025 - 16:58
Habari Pichani | Darul-Muslimeen iliweza kufika katika Kijiji cha Kikole, Kondoa(Kilomita 200 kutoka Dodoma Mjini), na kusaidia familia zenye mahitaji

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Alhamdulillah, Darul-Muslimeen iliweza na kufanikiwa kufika katika Kijiji cha mbali huko Kikole, Kondoa (Takriban Kilomita 200 kutoka Dodoma Mjini), ili kusaidia familia zenye mahitaji kwa kuwapatia pakiti za chakula katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan (Ulioisha) wa Mwaka huu 1446Hijria.

Habari Pichani | Darul-Muslimeen iliweza kufika katika Kijiji cha Kikole, Kondoa(Kilomita 200 kutoka Dodoma Mjini), na kusaidia familia zenye mahitaji

Your Comment

You are replying to: .
captcha