15 Juni 2025 - 16:28
Mauaji ya Mwanazuoni wa Kishia katika jimbo la Badakhshan nchini Afghanistan

Hojjat al-Islam wal- Muslimin, Sayyid Kazem Amiri, Profesa wa Seminari ya Imam Sadiq (AS) ameuawa katika mji wa Kashem, Mkoa wa Badakhshan, Afghanistan.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (AS) - ABNA - Hojjatul-Islam wal- Muslimeen, "Sayyid Kazem Amiri", mmoja wa maprofesa wa Seminari ya Imam Sadiq (AS) ameuawa katika mji wa Kashem, Mkoa wa Badakhshan, Afghanistan.

Hakuna maelezo zaidi bado yanayopatikana kuhusu muuaji au wauaji, na nia na namna ya mauaji ya Mwanachuoni huyu wa Kishia.

Habari hii itasasishwa...

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha