Profesa
-
Prof. Pillar | "Kutambuliwa kwa Palestina na Ulaya Ni Ishara Tu ya Kidiplomasia"
“Ahadi za kuitambua Palestina bado ni hatua ya kidiplomasia tu. Mradi tu Israel inaendelea kuikalia ardhi ya Palestina, taifa la kweli la Palestina haliwezi kusimama"
-
Profesa wa Chuo Kikuu cha Columbia katika mahojiano na ABNA: Trump hana sifa ya kupokea tuzo yoyote ya amani kwa sababu ya kushambulia Iran
Profesa Robert Shapiro: Trump hajali kuhusu jinai zinazotokea Gaza. Anaunga mkono kufunguliwa mashtaka kwa viongozi wa Hamas – yeyote ambaye bado yuko hai – lakini si kwa viongozi wa Kizayuni. Yeye anaitetea kabisa Israel.
-
Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania:
Viongozi wa Kitaifa wa JMAT-TAIFA Wajadili Ajenda za Amani na Maridhiano Jijini Arusha
Askofu Profesa Rejoice Ndalima: "Inafaa na inapendeza kwa viongozi wa kijamii na kidini kuungana ili kupunguza migawanyiko na kuondoa maneno ya chuki miongoni mwa Wananchi".
-
Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa
Imam ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa na miongoni mwa fahari za nchi yetu, na ana sifa na tofauti na viongozi wengine wa kitaifa ambazo zinaonyesha ubora wake juu ya wengine.
-
Mauaji ya Mwanazuoni wa Kishia katika jimbo la Badakhshan nchini Afghanistan
Hojjat al-Islam wal- Muslimin, Sayyid Kazem Amiri, Profesa wa Seminari ya Imam Sadiq (AS) ameuawa katika mji wa Kashem, Mkoa wa Badakhshan, Afghanistan.