Afghanistan
-
Taliban wauwa wanajeshi wanne wa serikali
Maafisa wa Afghanistan wamesema wanajeshi wanne wameuawa katika mapigano ya kuzuia shambulizi la Wataliban kwenye kituo cha jeshi cha ukaguzi wa barabarani katika mkoa wa Helmand wenye visa vingi vya vurugu.
-
NATO kufanya hafla ya kukamilisha kazi zake Afghanistan
Jumuiya ya Kujihami ya NATO inafanya hafla maalum mjini Kabul ili kukamilisha rasmi operesheni zake za kivita nchini Afghanistan, baada ya miaka 13 ya mgogoro ambao umeiacha nchi hiyo katika kitisho cha kukumbwa na ongezeko la machafuko ya uasi.
-
Majeshi ya Afghanistan yaanzisha operesheni dhidi ya wapiganaji wa Taleban
Vikosi vya usalama vya Afghanistan vimeanzisha operesheni dhidi ya wapiganaji wa jimbo la mashariki, eneo linaloonekana kuwa ngome ya kundi la Taliban
-
Ujerumani imekubali kupeleka majeshi yake Afghanistan
Baraza la mawaziri la Ujerumani limeidhinisha mipango ya kupeleka wanajeshi hadi 850 nchini Afghanistan watakaoshirikiana na kikosi cha NATO kutowa mafunzo na ushauri kuanzia Januari mwaka 2015.