Afghanistan
-
Serikali ya Muda ya Afghanistan Yatoa Pole kwa Watu wa Iran Kufuatia Mlupuko wa Bandar Abbas
Baada ya mlipuko uliotokea jana katika Bandari ya Shahid Rajaei iliyopo katika Mji wa Bandar Abbas, Serikali ya Muda ya Afghanistan, sambamba na mataifa mengi duniani, imetoa pole kwa watu na Serikali ya Iran.
-
Mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan walioko Pakistan unaanza leo hii
Vyombo vya Habari vya Pakistan vimeripoti kuwa mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan bila hati za ukazi wa kisheria kutoka nchi hii umepangwa kuanza leo Jumanne (Aprili 1).
-
Maafisa wa Umoja wa Mataifa: Wasichana wa Afghanistan Wanapaswa Kurejea Shuleni
Mkurugenzi mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya Wanawake, akizungumzia kuendelea kupigwa marufuku kwa elimu ya wasichana wa Afghanistan, amesema kuwa wasichana katika nchi hii wanapaswa kurejea shuleni haraka iwezekanavyo.
-
Human Rights Watch: Afghanistan si salama kwa wahamiaji waliofukuzwa kutoka Pakistan
Human Rights Watch, katika ripoti yake ya hivi punde kuhusu wahamiaji wa Afghanistan nchini Pakistan, ilionyesha wasiwasi wake kuhusu kufukuzwa kwa lazima kwa wahamiaji hao.
-
Tangazo la Urusi la kuwa tayari kupatanisha Pakistan na Afghanistan
Wakati mvutano kati ya Pakistan na Afghanistan ukiendelea, Balozi wa Urusi nchini Pakistan alitangaza utayari wa nchi yake kutatua mivutano hii.