Afghanistan
-
Watu milioni 10 nchini Afghanistan wanakosa maji safi ya kunywa
Katika taarifa yake ya hivi punde kuhusu tatizo la maji nchini Afghanistan, UNAMA ilisema kuwa zaidi ya watu milioni 10, karibu theluthi moja ya wakazi wa Afghanistan, hawana maji safi ya kunywa na wanatumia vyanzo vya maji visivyo safi.
-
Mauaji ya Mwanazuoni wa Kishia katika jimbo la Badakhshan nchini Afghanistan
Hojjat al-Islam wal- Muslimin, Sayyid Kazem Amiri, Profesa wa Seminari ya Imam Sadiq (AS) ameuawa katika mji wa Kashem, Mkoa wa Badakhshan, Afghanistan.
-
Mlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan
Taarifa kuhusu majeruhi au vifo: Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu kiwango cha majeruhi au uharibifu wa mali, na mamlaka ya polisi ya Taliban mjini Bamiyan haijatoa tamko lolote rasmi kuhusiana na tukio hili.
-
UNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu
UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati elimu kutokana na uhaba wa shule, huduma za afya, na walimu wenye sifa.
-
Kuendelea kuwepo kwa Marekani nchini Afghanistan kinyume na misimamo rasmi ya pande husika / Ujasusi na vitisho vya Marekani kwa nchi za eneo
Ingawa Marekani kwa dhihiri imeondoa majeshi yake kutoka Afghanistan, ripoti na kauli za Donald Trump zinaonyesha kuwa msingi mmoja wa kimkakati bado uko chini ya udhibiti wa Marekani nchini humo. Washington inatumia kambi hii kufanikisha malengo kama vile ufuatiliaji wa taarifa za kijasusi kuhusu Iran, China na Urusi, pamoja na kuhifadhi ushawishi wake katika Asia ya Kati.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban akiwa Tehran: Haki ya maji ya Iran imekuwa ikitiririka kwa mwezi mmoja sasa
Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Muda ya Afghanistan, amesema saa chache zilizopita katika “Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran” kwamba: “Kwa mwezi mmoja sasa, haki ya maji ya Iran kutoka Afghanistan imekuwa ikielekezwa kuelekea Sistan na Baluchestan.”
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Afghanistan na Iran wamekutana na kufanya mazungumzo Mjini Tehran
Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Afghanistan, ambaye yuko Iran kwa ajili ya kushiriki katika Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran, amekutana na Sayyid. Araghchi na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa pande mbili, masuala ya kiusalama, hali ya wakimbizi na haki ya maji ya Iran.
-
"Wadau wa sekta ya utamaduni wa Afghanistan watilia mkazo juu ya ukarabati wa "Gonbad-e-Begum" / 'Kubba ya Malkia' katika Mkoa wa Ghazni"
"Baadhi ya wadau wa sekta ya utamaduni wa Afghanistan wametilia mkazo umuhimu wa ukarabati na urejeshwaji wa jengo la kihistoria la 'Kubba ya Malkia' katika Mkoa wa Ghazni."
-
Serikali ya Muda ya Afghanistan Yatoa Pole kwa Watu wa Iran Kufuatia Mlupuko wa Bandar Abbas
Baada ya mlipuko uliotokea jana katika Bandari ya Shahid Rajaei iliyopo katika Mji wa Bandar Abbas, Serikali ya Muda ya Afghanistan, sambamba na mataifa mengi duniani, imetoa pole kwa watu na Serikali ya Iran.
-
Mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan walioko Pakistan unaanza leo hii
Vyombo vya Habari vya Pakistan vimeripoti kuwa mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan bila hati za ukazi wa kisheria kutoka nchi hii umepangwa kuanza leo Jumanne (Aprili 1).
-
Maafisa wa Umoja wa Mataifa: Wasichana wa Afghanistan Wanapaswa Kurejea Shuleni
Mkurugenzi mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya Wanawake, akizungumzia kuendelea kupigwa marufuku kwa elimu ya wasichana wa Afghanistan, amesema kuwa wasichana katika nchi hii wanapaswa kurejea shuleni haraka iwezekanavyo.
-
Human Rights Watch: Afghanistan si salama kwa wahamiaji waliofukuzwa kutoka Pakistan
Human Rights Watch, katika ripoti yake ya hivi punde kuhusu wahamiaji wa Afghanistan nchini Pakistan, ilionyesha wasiwasi wake kuhusu kufukuzwa kwa lazima kwa wahamiaji hao.
-
Tangazo la Urusi la kuwa tayari kupatanisha Pakistan na Afghanistan
Wakati mvutano kati ya Pakistan na Afghanistan ukiendelea, Balozi wa Urusi nchini Pakistan alitangaza utayari wa nchi yake kutatua mivutano hii.