Afisa
-
Afisa wa Jeshi la Israel: Theluthi Moja ya Wanajeshi Wanakabiliwa na Matatizo ya Akili
Ripoti rasmi za utawala wa Kizayuni zinaonyesha kuongezeka kwa kiwango kisicho cha kawaida cha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanajeshi. Kwa mujibu wa Tamar Shimony, Naibu Mkuu wa Idara ya Urejeshaji (Rehabilitation) katika Wizara ya Vita ya Israel, zaidi ya wanajeshi 85,000 wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani atazuru Qatar kesho
Gazeti la Washington Post, likinukuu maafisa wawili wa serikali ya eneo hilo, limeripoti kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anatarajiwa kufanya ziara nchini Qatar kesho, siku ya Jumanne.
-
Kuhukumiwa Myahudi wa Kiyahudi Orthodox nchini Israel kwa shtaka la kushirikiana na Iran
Moja ya majukumu hayo lilikuwa kutuma kifurushi cha vitisho kwa mwakilishi wa Israel katika Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki. Mahakama imesema ingawa Stern hakutekeleza baadhi ya majukumu hayo, lakini kwa sababu alikubali na kuanza kuyafuatilia, ametambuliwa kuwa na hatia
-
Iran yaidungua ndege isiyo na rubani ya Israel MQ-9 iliyotengenezwa na Marekani
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.