Gazeti la Washington Post, likinukuu maafisa wawili wa serikali ya eneo hilo, limeripoti kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anatarajiwa kufanya ziara nchini Qatar kesho, siku ya Jumanne.
Moja ya majukumu hayo lilikuwa kutuma kifurushi cha vitisho kwa mwakilishi wa Israel katika Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki. Mahakama imesema ingawa Stern hakutekeleza baadhi ya majukumu hayo, lakini kwa sababu alikubali na kuanza kuyafuatilia, ametambuliwa kuwa na hatia
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.