Akhlaq
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa mkutano wa kumbukumbu ya miaka mia moja (100) ya kuanzishwa upya kwa Chuo cha Dini cha Qom:
Ayatollah Khamenei: Jukumu la (Hawza) Chuo cha Kidini ni Kuchora Mipaka Mikuu na Midogo ya Ustaarabu mpya wa Kiislamu
"Kazi kuu na ya msingi ya Hawza ni (البَلاغُ المُبین) kufikisha ujumbe wa dini kwa uwazi na ufasaha (ubalighi wa wazi - Kwa maana: Kufikisha ujumbe kwa uwazi na uthabiti na kwa namna ambayo haiachi shaka yoyote -). Miongoni mwa vielelezo vyake muhimu kabisa ni kuchora na kueleza kwa uwazi mistari (mipaka) mikuu na ya kando ( au midogo) ya ustaarabu mpya wa Kiislamu, pamoja na kuifafanua, kuieneza, na kuikuza katika jamii kama sehemu ya utamaduni."
-
Siri na Falsafa ya Ratiba ya Darsa ya "Subhi ya Kimaanawi" kwa Wanafunzi wa Jamiat Al-Mustafa, Dar-es-Salam, Tanzania + Picha
Maulamaa wakubwa katika historia zao, walikuwa wakitafuta Adabu (Maadili) kwanza, kisha ndio wanaitafuta elimu. Wengine walikuwa wakiitafuta adabu kwa muda wa miaka 30, na elimu wanaitafuta kwa muda wa miaka 20.
-
Nukta 7 na Muhimu za Tabia Njema, Zilizosheheni Hekima na Busara
"Mwenyezi Mungu ameumba Viumbe Tofauti tofauti, na kila kimoja amekipa sifa zake , Ni Tatizo sana unapo taka Sifa za Kuku awenazo Bata".
-
Majukumu ya Mwalimu na Mwanafunzi:
Majukumu ya Mwanafunzi yamegawanyika katika sehemu kuu tatu (2)
Amesema Mtume (s.a.w.w): “Mfano wa anaye jifunza akiwa mdogo ni kama Anaye nakishi (anaye chora) katika jiwe, na anaye jifunza ukubwani ni kama na anayeandika katika maji”. Japokuwa kutafuta elimu ni vizuri na muhimu katika umri wote, lakini ukiwa katika umri mdogo ndio vizuri zaidi.
-
Majukumu ya Mwanalimu na Mwanafunzi (1)
Majukumu ya Mwalimu yamegawanyika katika sehemu kuu tatu :- Majukumu yake binafsi, majukumu juu ya wanafunzi wake, na majukumu yake akiwa darasani.
-
Fadhila za Mwezi Mtukufu wa Ramadhan:
Tusiwe wavivu ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, na tusichoke kuomba Maghfira na Msamaha
Kila kizuri unachokifanya ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ni thawabu.Hata pumzi zetu tunapopumua ndani ya Mwezi huu, hilo linahesabiwa kuwa ni ibada, na hata kulala kwetu na usingizi wetu ndani yake pia ni ibada. Sisi ni wageni wa Mwenyezi Mungu ndani yake.
-
Dk. Pezeshkian: Ikiwa mwongozo wa Qur'an hauonekani katika matendo na maisha yetu, basi tunapaswa kufikiria upya tabia zetu.
Akisisitiza umuhimu wa kuunganisha maarifa ya Qur'an na matendo ya kijamii, Rais wa Iran amesema: Tatizo kubwa ni pengo kati ya kuijua na kuitekeleza Qur'an. Tunadai kuwa Qur’an inatuonyesha njia ya uongofu na inamfikisha Mwanadamu katika kilele cha juu zaidi, lakini ikiwa kivitendo hakuna dalili ya mwongozo huu inayoweza kuonekana katika maisha yetu ya kibinafsi na ya kijamii, basi kwa hakika tunapaswa kuangalia upya tabia zetu.
-
Sheikh Reihan Yasin:
Ramadhani ni Fursa ya Wakati
"Kila Muislamu anapaswa kuamini kuwa: Kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni fursa ya wakati. Hivi ndivyo Mtume Muhammad (s.a.w.w) na Ahlul-Bayt wa Mtume (a.s) pamoja na Masahaba wema walivyokuwa wakiamini, kwao Ramadhani haukuwa ni Mwezi kama Miezi mingine".