Akili Bandia
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Elimu ya Akili Bandia na Usalama wa Mtandao ni Muhimu Shuleni
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesisitiza umuhimu wa kufundisha akili bandia (AI) na usalama wa mtandao katika shule kwa mtazamo wa vitendo na unaojenga ujuzi, akieleza kuwa teknolojia za kisasa zina nafasi muhimu katika kukabiliana na changamoto za kisasa.
-
Le Figaro yafichua: Vita halisi vya Israel dhidi ya Iran vinaendelea katika mitandao ya kijamii!
Le Figaro yafichua kuwepo kwa vita vya kisaikolojia vya Israel dhidi ya Iran kupitia mitandao ya kijamii. Ripoti inasema lengo ni kusukuma simulizi ya kubadilisha utawala sambamba na vitisho vya kijeshi. Akaunti bandia, maudhui ya AI, hashtag elekezi na operesheni za kidijitali hutumika kuendesha kampeni hiyo.
-
Fiqh ya Kuangalia Baadaye; Njia Pekee ya Kulinda Jamii Dhidi ya Ufisadi wa Akili Bandia
Mwalimu wa Chuo cha Dini cha Qom amesema kwamba akili bandia (AI) imeunda mipaka mipya katika eneo la uwajibikaji, mamlaka, na haki. Aliongeza kuwa: Fiqh inapaswa kuwa na mtazamo wa kuangalia mbele, ili iweze kutoa hukumu na msingi wa dini kwa matukio mapya kabla ya kuibuka kwa migogoro au majanga.
-
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu: Vita vya Siku 12 Vilikuwa Vita vya Kwanza vya Akili Bandia (AI)
Rais wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Mahdi Imanipour, amesema kwamba dunia sasa imeingia katika zama za Akili Bandia (AI) na kwamba uwanja wa mapambano ya kimataifa umebadilika kikamilifu. Amesema pia kuwa vita vya siku 12 vilivyohusisha Iran na utawala wa Kizayuni (Israeli) vilikuwa “vita vya kwanza vya akili bandia”.
-
Watu Zaidi ya Milioni 21 Wamehudhuria katika Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Mwaka huu wa 1447 Hijria / 2025
Kulingana na taarifa ya Haram Tukufu ya Abasi, idadi ya mahujaji waliohudhuria maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) mwaka huu imefikia milioni 21,103,524.
-
Mufti wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zuber, Arejea Nchini Baada ya Kikao cha Kimataifa Nchini Misri
"Tumejadili namna bora ya kumaliza mzozo huo kwa njia ya amani. Na tunawaombea ndugu zetu wa Gaza ili Mwenyezi Mungu awape amani na kumaliza mgogoro huu wa muda mrefu,"
-
Wanasayansi wa Iran Watumia AI Kuboresha Picha za Setilaiti na Takwimu za Anga
Wachambuzi wanasema kuwa hatua hii inaweza kuongeza uwezo wa Iran katika usalama wa kitaifa, usalama wa chakula, na uchunguzi wa hali ya mazingira, sambamba na kuipa nafasi ya kushindana katika teknolojia ya anga kimataifa.