Brigedia
-
Mapinduzi Guinea-Bissau: Rais Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa na kukamatwa, Jeshi Lachukua Madaraka
Baada ya sintofahamu hiyo, Brigedia Jenerali Denis N’Canha, Mkuu wa Brigedi ya Kijeshi mjini Bissau, alitokea katika televisheni ya taifa na kutangaza rasmi kwamba jeshi limechukua madaraka ya nchi.
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Kamanda Bahman Kargar kufuatia kifo cha Kamanda Alireza Afshar
Mkuu wa Taasisi ya Kuhifadhi na Kueneza Thamani za Ulinzi Mtakatifu na Mapambano ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Kamanda wa IRGC, Brigedia Sardar Alireza Afshar.
-
Kukamatwa kwa Mawakala 87 wa Utawala wa Kizayuni katika Mkoa wa Lorestan, Magharibi mwa Iran
Watu hao 87 waliotiwa mbaroni wanatuhumiwa kwa kueneza hofu miongoni mwa raia, kufanya vitendo vya uharibifu, kuwasiliana na mashirika ya kijasusi ya kigeni, na kumiliki vilipuzi.
-
Jeshi la Israel linapanga njama ya kuteka 50% ya Ukanda wa Gaza
Jeshi la Israel linapanga kudhibiti asilimia 50 ya Ukanda wa Gaza ikiwa kutakuwa hakuna maendeleo katika mazungumzo ya pande mbili.