Brigedia
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Vyombo vya Majini Vinavyotumika Dhidi ya Wananchi wa Iran Haviwezi Kupita Katika Bahari ya Hormuz
“Udhibiti wa Bahari ya Hormuz uko mikononi mwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Vifaa vinavyotumika dhidi ya wananchi wa Iran haviwezi kupita katika Bahari ya Hormuz.”
-
Brigedia Jenerali Ibn al-Ridha: Vikwazo na Vita Vimekuwa Chachu ya Maendeleo ya Kiteknolojia ya Ulinzi Nchini Iran
Naibu Waziri wa Ulinzi na Msaada wa Majeshi ya Iran, Brigedia Jenerali Sayyid Majid Ibn al-Ridha, amesema vikwazo na vita vimekuwa miongoni mwa sababu zilizochochea maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika sekta ya ulinzi ya Iran.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga ya Iran: Kusasisha Uwezo na Mafunzo ni Lazima ili Kukabiliana na Maendeleo Mapya
Kamanda wa Makao Makuu ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga nchini Iran, Brigedia Jenerali Alireza Elhami, amesema kusasisha vifaa, uwezo na mitaala ya mafunzo ni jambo la lazima ili kukabiliana na mabadiliko ya vitisho vya anga na maendeleo ya teknolojia za kijeshi.
-
Kamanda wa Walinzi wa Mipaka wa Iran awasili Pakistan kwa mkutano wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai
Kamanda wa Vikosi vya Walinzi wa Mipaka wa Iran, Brigedia Jenerali Ali Akbar Javidan, amewasili Islamabad kushiriki mkutano wa makamanda wa walinzi wa mipaka wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai (SCO).
-
Brigedia Jenerali Ali Fadavi: Ushahidi wa Imam Shahidi Khamenei Umeufanya Njia ya Mapinduzi ya Kiislamu Kuwa Wazi Zaidi
Mkuu wa Kundi la Washauri wa Makao Makuu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Ali Fadavi, amesema kuwa ujasiri ulikuwa sifa kuu ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei na kwamba ushahidi wake umeifanya njia ya Mapinduzi ya Kiislamu kuwa wazi zaidi.
-
IRGC: Vikosi vya Iran Viko Tayari Kujibu Uchokozi Wowote kwa Nguvu
Naibu Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Brigedia Jenerali Yadollah Javani, amesema silaha yenye nguvu zaidi ya Iran ni imani na itikadi ya wananchi wake, akisisitiza kuwa diplomasia na uwezo wa kijeshi vinaenda sambamba katika kulinda haki na maslahi ya taifa.
-
IRGC: Marekani Itajutia Ikiamua Kurudia Makosa Yake ya Zamani
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Hussein Mohabbi, amesema Marekani itajutia endapo itajaribu kurudia kile alichokiita majaribio yake yaliyoshindwa dhidi ya Iran.
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Hatuwezi Kuvumilia Kuendelea kwa Uhalifu Dhidi ya Lebanon
Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi, ameonya kuwa Iran haitakaa kimya mbele ya kuendelea kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, akilaani mauaji ya raia na ukimya wa baadhi ya mataifa ya Magharibi.
-
Mkuu wa Jeshi la Iran Amir Hatami Akikagua Ngome za Kijeshi za Mipakani pamoja na Brigedi za Jeshi la Ardhini
Ziara hii inakuja wakati Iran inasisitiza kuimarisha usalama wa mipaka yake na kuonyesha utayari wa jeshi katika kukabiliana na changamoto za kijeshi bila kukosa tahadhari ya kisiasa, hasa kutokana na mvutano uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Mapinduzi Guinea-Bissau: Rais Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa na kukamatwa, Jeshi Lachukua Madaraka
Baada ya sintofahamu hiyo, Brigedia Jenerali Denis N’Canha, Mkuu wa Brigedi ya Kijeshi mjini Bissau, alitokea katika televisheni ya taifa na kutangaza rasmi kwamba jeshi limechukua madaraka ya nchi.
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Kamanda Bahman Kargar kufuatia kifo cha Kamanda Alireza Afshar
Mkuu wa Taasisi ya Kuhifadhi na Kueneza Thamani za Ulinzi Mtakatifu na Mapambano ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Kamanda wa IRGC, Brigedia Sardar Alireza Afshar.
-
Kukamatwa kwa Mawakala 87 wa Utawala wa Kizayuni katika Mkoa wa Lorestan, Magharibi mwa Iran
Watu hao 87 waliotiwa mbaroni wanatuhumiwa kwa kueneza hofu miongoni mwa raia, kufanya vitendo vya uharibifu, kuwasiliana na mashirika ya kijasusi ya kigeni, na kumiliki vilipuzi.