Kabul imeanza safari ya kuzalisha megawati 10,000 za umeme baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake, mpango unaoweza kuibadilisha kutoka nchi inayoagiza umeme hadi kuwa muuzaji wa nishati katika ukanda.
Kongamano hili litajadili juu ya Maendeleo katika Ulimwengu wa Kiislamu kati ya changamoto na mkakati.
Mhadhiri: Samahat Sheikh Mulaba Saleh.
Siku ya: Jumamosi; 19/04/2025. Kuanzia: 10 - 12:00 AM.
Katika Ukumbi wa Sala wa Chuo cha Jamiat Al- Mustafa.
Watu wote mnakaribishwa kuhudhuria katika nad'wa hii ya Kisayansi.