Halisi
-
Iran Yazindua Makombora Mapya Yenye Uwezo wa Kuongozwa Angani
Wataalamu wa kijeshi wanaona kuwa teknolojia ya kuongozwa kwa Makombora yakiwa angani inafanya makombora hayo kuwa na faida kubwa kutokana na uwezo wake wa kurekebisha au kubadilisha mwelekeo kwa wakati halisi na Sahihi, jambo linaloongeza usahihi na kupunguza uwezekano wa kuruka hadi mbali bila kufikia shabaha yake.
-
Ripoti ya ABNA kuhusu Mkutano wa Kitaifa wa Kuheshimika kwa Allama Hassan-Zadeh Amoli:
Elimu, ni amana ya Kimungu ili kuvuka kutoka Ufalme hadi Ufalme wa Mbinguni | Kumheshimu Mwanazuoni, ni wajibu wa kila mtu kwa ajili ya kuingia Peponi
Katika Mkutano wa Kina Kitaifa wa “Mwanazuoni wa Kimungu na Mfuasi wa Tauhidi, Bwana Allama Hassan-Zadeh Amoli” uliofanyika Qom, Ayatollah Hassan Ramadhani, profesa wa vyuo vya kidini, akielezea hadhi ya juu ya elimu kama amani ya Mungu inayohakikisha maisha ya kimwili na kiroho ya binadamu, alisisitiza kwamba elimu halisi inajumuisha maarifa yote ya kuongoza kutoka fiqhi hadi falsafa, na kuheshimu wanazuoni wa kweli ni njia muhimu ya kufikia ukamilifu, kuinua maisha ya kiroho na kuingia Malakut (ufalme wa kiroho).
-
“Ikiwa riziki imeamuliwa, kwa nini tunapaswa kufanya kazi?”
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu, basi nafasi ya kazi, jitihada, na kupanga mipango ni ipi?” Je, imani kwa takdiri ya Mungu inamaanisha kuacha kutumia njia halisi na kusubiri pasipo kufanya lolote?
-
Binadamu Katika Mtazamo wa Qur’an
Qur’ani katika asili ya kila binadamu, hata kama ni Firauni, inamtambua binadamu wa kweli, na kwa hiyo Mitume wa Mwenyezi Mungu wanapokuja kupambana na Firauni, jambo la kwanza wanalojaribu ni kuamsha ule ubinadamu wa ndani ulio ndani yake umpinge yeye mwenyewe. Ana fitra inayomfahamu Mwenyezi Mungu; ana ufahamu wa Mungu wake katika kina cha dhamiri yake. Ukanushaji na mashaka yote ni maradhi na upotovu kutoka kwenye asili halisi ya binadamu.