Hawza
-
Ayatllah Hosseini Gorgani amesisitiza kuwa:
Fiqh ya Usimamizi Ina Historia Ndefu | Utendaji wa vitendo unaoendana na Qur’an ni muhimu katika utawala na usimamizi wa umma
Mwalimu wa Dars-e-Kharij katika Hawza Ilmiyya ya Qom amesema kuwa kuunda serikali na utawala na manabii wa Mungu si jambo jipya, na Qur’an kwa uwazi inataja mtindo wa utawala wa baadhi ya manabii.
-
Shahidi Sadr baada ya Imam na Allama alikuwa jua linalong’aa la fikra za Kiislamu katika karne ya hivi karibuni;
Tuzo ya Kitabu cha Mwaka ya Hawza inapaswa kutoka katika hali ya uzembe na kupata hadhi ya kimataifa ya marejeo
Kongamano la ishirini na saba la Kitabu cha Mwaka cha Hawza leo limegeuka kuwa jukwaa la kuenzi hadhi tukufu ya shahidi mwanazuoni, Muhammad Baqir al-Sadr, na pia kuchora upeo mpya wa tafiti na utafiti wa kielimu katika taasisi za kidini (Hawza). Tukio hilo limeangazia mchango wa kielimu na kifalsafa wa Shahidi Sadr, sambamba na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ubunifu, kina cha utafiti na upeo wa kimataifa katika kazi za kielimu za Hawza.
-
Madrasa ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni - Yaadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Majlisi Maalum ya Maombolezo
Kikao hicho kilipambwa kwa kisomo cha Qur’an Tukufu na mashairi ya maombolezo (marsiya), ambapo walimu na wanafunzi walishiriki kwa unyenyekevu na hisia za heshima kwa mashahidi wa Karbala.
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Husseini Bushehri Kufuatia Kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian
Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian.
-
Kikao cha Kielimu na Utafiti kuhusu "Kumjua Mwenyezi Mungu (swt) Kujifunza Kuhusu"
Akinukuu Aya ya 108 ya Surah Yusuf, Sheikh Ghawth alisisitiza umuhimu wa kutumia akili, mazingatio na dalili za ulimwengu wa nje (Ulimwengu wa Dhahiri) katika kumuelewa Muumba.
-
Mkutano mkubwa katika Seminari ya Qom kufanyika katika kuunga mkono vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Mkusanyiko mkubwa wa Seminari (Hawza) ya Qom umelaani utawala haram wa Kizayuni utafanyika katika Seminari ya Faiziyah.
-
Mwanachama wa Baraza la Wataalam wa Uongozi katika mahojiano na Abna: Tunahitaji Hawza za Dini ambazo matokeo yake yatakuwa "Wazalishaji wa maarifa"
Mwanachama wa Baraza la Wataalam wa Uongozi alisema: Hawza ya dini inatakiwa kutafakari kwa makini kuhusu wanafunzi wake ambao hujiunga na mashirika mengine na mara nyingine hufanya kazi ambazo ni tofauti kabisa na maarifa au mafunzo yao waliyoyapokea.
-
Heshima ya Mwanamke wa Kiislamu Katika Muonekano wa Vazi la Hijabu: Mfano wa Mabinti wa Hawzat Hazrat Zainab (sa), Dar es Salaam – Tanzania
Leo hii katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam - Tanzania, palifanyika Kongamano Tukufu la Qur’an ambapo wanafunzi wa kike kutoka Hawzat Hazrat Zainab (sa) walishiriki kwa umahiri na adabu kubwa. Walikuwa mfano halisi wa utekelezaji wa mafundisho bora ya Kiislamu kuhusu namna ya kujisitiri, kuishi, na kuwasilisha ujumbe wa dini kwa vitendo.
-
Wanafunzi wa Hawzatul-Qaim (atfs) waanza Mitihani ya Robo ya pili - 2025
Mtihani huu ni sehemu ya ratiba ya kila mwaka ya Ki-Hawza inayojumuisha vipindi vinne vya mitihani (robo).
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa mkutano wa kumbukumbu ya miaka mia moja (100) ya kuanzishwa upya kwa Chuo cha Dini cha Qom:
Ayatollah Khamenei: Jukumu la (Hawza) Chuo cha Kidini ni Kuchora Mipaka Mikuu na Midogo ya Ustaarabu mpya wa Kiislamu
"Kazi kuu na ya msingi ya Hawza ni (البَلاغُ المُبین) kufikisha ujumbe wa dini kwa uwazi na ufasaha (ubalighi wa wazi - Kwa maana: Kufikisha ujumbe kwa uwazi na uthabiti na kwa namna ambayo haiachi shaka yoyote -). Miongoni mwa vielelezo vyake muhimu kabisa ni kuchora na kueleza kwa uwazi mistari (mipaka) mikuu na ya kando ( au midogo) ya ustaarabu mpya wa Kiislamu, pamoja na kuifafanua, kuieneza, na kuikuza katika jamii kama sehemu ya utamaduni."
-
Hawzat Hazrat Zainab (sa) Kigamboni - Dar-es-salaam | Wanawake katika Kuadhimisha Shahadat ya Imam Sadiq (a.s) + Picha
Wanawake katika jamii za Kiislamu wanachukua jukumu muhimu katika kuadhimisha kifo cha Kishahidi cha Imam Sadiq (a.s), ambapo si tu wanahudhuria kimwili katika vikao kama hivi vya Maombolezo, bali pia wanashiriki kikamilifu kwa njia ya vitendo katika kueneza mafundisho ya Imam Sadiq (as) katika nyanja mbalimbali.
-
Majukumu ya Mwanalimu na Mwanafunzi (1)
Majukumu ya Mwalimu yamegawanyika katika sehemu kuu tatu :- Majukumu yake binafsi, majukumu juu ya wanafunzi wake, na majukumu yake akiwa darasani.
-
Siku ya Quds Duniani:
Kongamano la Siku ya Quds Duniani lilifanyika Jijini Tanga, Tanzania
Kuna umuhimu Mkubwa kwa Waislamu na Watu wote huru na wapenda Haki Duniani, kuzidi kusimama pamoja na wadhulumiwa wa Palestina na kutetea Haki za watu wote wanyonge popote pale walipo Duniani. Watu mbalimbali kutoka Jiji la Tanga walihudhuria katika Mkusanyiko huu wa kuhuisha Siku ya Kimataifa ya Quds, wakiwemo Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kidini na Madhehebu mbalimbali.