Jambo
-
Sheikh Naeim Qassem: „Kwa mapigano ya aina ya Karbala, tutakabiliana na kuondolewa kwa silaha za harakati ya upinzani.“
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, katika hotuba ya kumbukumbu ya mashahidi Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashim Safiuddin, amesisitiza kuwa Hizbullah imesalia thabiti katika ahadi yake na itapinga vikali jaribio lolote la kuondoa silaha zake.
-
Ibn Sirin ni Nani? - Mtazamo wa Kiislamu kuhusu Mtu Huyu na Sifa Zake
Abu Bakr Muhammad bin Sirin - Maarufu kama "Ibn Sirin" hakuwahi kuzungumza na mama yake kwa sauti ya juu, na kila alipomwambia jambo, ilikuwa kana kwamba anataka kulinong’oneza kwa siri.
-
Katibu Mkuu wa Baraza la Maimamu wa Kishia Pakistan:
Kukandamiza waombolezaji wa Imam Hussein (a.s) Punjab ni kitendo cha woga na kinyume na haki za kiraia
Katibu Mkuu wa Baraza la Maimamu wa Kishia nchini Pakistan, Hujjatul-Islam Shabir Hassan Meesami, amelielezea hatua ya Serikali ya Punjab ya kuwashughulikia kwa nguvu waombolezaji wa Imam Hussein (a.s) na kufungua kesi za kisheria dhidi yao kuwa ni kitendo cha woga, akitaka kusitishwa mara moja kwa kukamatwa kiholela na kuachiliwa kwa wote waliokamatwa.
-
Kudhibiti Moto wa Misitu na Kutojali kwa Gavana wa Bamiyan Kuhusu Uhamishaji wa Lazima wa Waislamu wa Kishia nchini Afghanistan
Wakati serikali ya muda ya Taliban imetangaza kuwa Gavana wa Mkoa wa Bamiyan, Mawlawi Abdullah Sarhadi, alifika haraka eneo la tukio na kuongoza operesheni ya kuzima moto wa misitu kama ishara ya kujali mazingira, ripoti nyingine zimeripoti uhamishaji wa lazima wa makumi ya familia za Kishia na jamii ya Wahazara kwa amri ya kiongozi huyo huyo wa Taliban – jambo lililosababisha hasira na taharuki kubwa miongoni mwa wananchi na wanaharakati wa kiraia.
-
Mada | Dua Unapotengana na Umpendae – Mafunzo ya Kiimani na Faraja ya Kiislamu
Tunafundishwa Dua hii: اللَّهُمَّ اجْبُرْ كَسْرَ قَلْبِي، وَصَبِّرْنِي عَلَى مَا فَاتَنِي... "Ewe Mwenyezi Mungu! Tibu moyo wangu uliovunjika, nivumilishe juu ya kilichonipita..." Kwa Dua hii unajielekeza kwa Allah (SWT) kama Mponyaji wa nyoyo zilizovunjika na Mtulizaji wa roho zilizochoka. Inafundisha kumkabidhi Allah maumivu ya moyo, kukubali kuwa si kila tulichokitaka ni chema kwetu, na kumuomba Atuchagulie kilicho bora.