Khutba
-
Infografia | Utambulisho wa Qā’im wa Aal Muhammad (s.a.w.w) katika Khutba ya Ghadir (9)
"Tambueni! Hakika mwisho wa Maimamu kutoka kwetu ni Qā’im al-Mahdi...Hakika yeye ndiye Hujja aliyebakia, na baada yake hakuna hujja mwingine".
-
Sheikh Hemed Jalala | Khutba ya Ijumaa (Malezi ya Watoto) - Masjidul Ghadir, Kigogo Post, Dar-es-Salaam
Sheikh Hemed Jalala alisisitiza umuhimu wa malezi bora ya watoto kwa kufuata misingi thabiti ya Kiislamu. Alibainisha kuwa familia ni msingi wa jamii, na hivyo malezi ya mtoto yanapaswa kuakisi maadili na mafundisho ya dini.
-
Sheikh Abdul Ghani Khatibu | Khutba ya Ijumaa: “Karama na Heshima ya Mwanadamu - Msimamo Wetu wa Kiutu”
Lengo letu si mkate - Bali ni kuishi kwa hadhi, kwa karama, kwa ujasiri wa kusimamia ukweli, hata kama ni mchungu. Tusimame na wanyonge: Tusisahau ndugu zetu wanaodhulumiwa, kama Wapalestina, ambao kila siku wanapigania si mkate - bali heshima yao, ardhi yao, utu wao na Karama yao.
-
Kielezo cha Maandishi cha Hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika Khutba zake mbili za Sala ya Eid al-Fitr
Kiongozi Muadhamu alieleza msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vitisho vya maadui katika Khutba za Sala ya Eid al-Fitr.