Kigeni
-
Sheikh Naeem Qassem:
"Kulenga Palestina, Muqawama na Iran ni sehemu ya vita moja / Mpango hatari wa Trump kwa Gaza: Vazi la Kimarekani juu ya mpango wa Kizayuni"
Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, Sheikh Naeem Qassem, katika maadhimisho ya mwaka mmoja wa shahada ya mashujaa wawili wa muqawama — Shahid Sheikh Nabil Qawuq na Sayyid Suhail Al-Husseini — alionya kuhusu sura mpya ya mradi wa Kizayuni unaoitwa “Israel Kubwa” na kusisitiza juu ya kuendelea kwa mapambano na ulinzi wa mhimili wa haki.
-
Kuhukumiwa Myahudi wa Kiyahudi Orthodox nchini Israel kwa shtaka la kushirikiana na Iran
Moja ya majukumu hayo lilikuwa kutuma kifurushi cha vitisho kwa mwakilishi wa Israel katika Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki. Mahakama imesema ingawa Stern hakutekeleza baadhi ya majukumu hayo, lakini kwa sababu alikubali na kuanza kuyafuatilia, ametambuliwa kuwa na hatia
-
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli amesema kwamba “Kuunganisha Sanaa na Ushairi na Tauhidi ni ngao dhidi ya vitisho vya kigeni"
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli alisisitiza umuhimu wa kuunganisha sanaa na ushairi na Tauhidi (umoja wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu), akisema kuwa iwapo mafundisho ya tauhidi yatahuishwa kwa sura yake halisi, basi jamii ya Kiislamu haitapotea wala kukumbwa na vitisho kutoka kwa maadui.
-
Zaidi ya Mazuwwari wa Kigeni Milioni 4 Washiriki Ziara ya Arubaini Karbala
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa zaidi ya mahujaji wa kigeni milioni 4 wameshiriki katika Ziara ya Arubaini mwaka huu.