Maandiko
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ataka Utekelezaji wa Makubaliano ya Kistratejia kati ya Iran na China
Ayatollah Khamenei amesisitiza nafasi ya kihistoria na ya kimkakati ya Iran na China katika bara la Asia na duniani, na akasema kuwa: "Iran na China, zikiwa na historia ya ustaarabu wa kale katika pande mbili za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko katika medani ya kimataifa na kikanda. Kuweka katika vitendo vipengele vyote vya makubaliano ya kistratejia, kutarahisisha njia hii."
-
"Sifa Sita za Muumini Zinazomhakikishia Pepo"
Maelezo yafuatayo yanaeleza matendo au sifa sita ambazo kuyatekeleza kunaweza kusababisha wokovu na kuingia peponi. Mambo haya sita ni nguzo za msingi za maisha ya kiimani na yenye kujitolea. Maandiko haya yanalenga, kwa kuyataja mambo haya, kutoa njia iliyo wazi kuelekea kwenye furaha ya Akhera.
-
Ni ipi kati ya ibara hizi mbili iliyo sahihi? "Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Itrah wangu, Ahlul-Bayt wangu au Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna yangu"
Hadithi sahihi na iliyothibitishwa kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni yenye lafdhi hii isemayo: «وأهل بیتي» / "Na Ahlul-Bayt wangu”, ama riwaya ile ambayo imepachikwa lafdhi au neno «وسنّتي» / “Na Sunna yangu” badala ya lafdhi ya asili na sahihi isemayo: «وأهل بیتي» / "Na Ahlul-Bayt wangu”, riwaya hiyo ni batili kwa mtazamo wa sanadi ya upokezi wa Hadithi husika.