Maelfu
-
China Yaonesha Nguvu za Kijeshi Katika Gwaride Huku Rais wa China Xi Akisimama Pamoja na Rais Putin na Rais Kim +Picha
China iliandaa gwaride kubwa la kijeshi kuonesha uwezo wake wa kivita, huku Rais Xi Jinping akisalimiana na kusimama pamoja na Rais Vladimir Putin wa Urusi na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Hafla hiyo iliangazia umoja wa kisiasa kati ya mataifa hayo na kuonesha silaha mpya na teknolojia ya kisasa ya kijeshi mbele ya maelfu ya watazamaji na viongozi wa kimataifa.
-
Hamas Yatuma Salamu za Pole kwa Watu wa Afghanistan Kufuatia Tetemeko la Ardhi
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa salamu za rambirambi kufuatia tetemeko la ardhi lililosababisha vifo katika mkoa wa Kunar, nchini Afghanistan, na kueleza masikitiko yake makubwa kwa maelfu ya raia waliopoteza maisha au kujeruhiwa.
-
Katika Kumbukizi ya Imam Reza (a.s): Kiongozi Mkuu Atoa Wito wa Kulinda Umoja na Kukemea Jinai za Kizayuni
Ayatollah Khamenei: "Marekani Haitaki Iran Isimame Imara, Bali Itii Amri Zake".
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.